Lawmaina ze mzalendo,
Leo naona hujamtag geza.
Bana usimuite huyo na wenzie wasije kunyea hapa, tayari pasafi. Nataka picha kama hii hapa chini, yaani namba moja, mbili na hadi tatu wote Wakenya, that's Gold, Silver and Bronze..... national flag and anthem. Please guys don't soil this.
Afu huyo huyo pamoja na hela anazopokea tokea kwa ushindi kila mara, anaweza kukununua wewe, mademu wako pamoja na kijiji chenu na ahakikishe mnashiba hadi mfe.Aisee!! Kwa muonekano wa huyo mshindi wa kwanza, hapana shaka baha la njaa bado linatishia Kenya.....horn of Africa.
Kudadeki!!
Afu huyo huyo pamoja na hela anazopokea tokea kwa ushindi kila mara, anaweza kukununua wewe, mademu wako pamoja na kijiji chenu na ahakikishe mnashiba hadi mfe.
Watoto wa Kikenya bomba aisei. Ushindi kila sehemu.
Typical decelerated African mentality always associating thinness to poverty and obesity affluence. You live your life as per your own maxims. Why not condemn Obama since he is not fat to your expectations.Realy bro!! So why he is still thin, slim and retarded if he rich!? Life is craaazy sir!! Sorry I didnt to offend!!
Mademu sio wavivu pia, wanapeperusha bendera... namba moja, mbili na tatu.
oops hivi kumbe hawa ni mademu?
kwa hizo sura zao nilidhani ni ma-boys.lol
Hapana bro!! Unajua manzi wengi wa kenya huwa wanafuataga na sura za babu zao....that's why kinda ugly...!
Duh! wewe na wenzio mpite kimya tu! hapa hamna pumzi ya kutosha, kwanza umeitizama hiyo video yote.
i agree with you bro.
Mademu sio wavivu pia, wanapeperusha bendera... namba moja, mbili na tatu.