Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Afisa wa polisi, Bw. Peter Karanja ahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kuwaua watu kumi kwa kuwapiga risasi.
Taarifa zinabainisha kuwa Bw. Peter Karanja alifanya uhalifu huo mnamo Novemba 6, 2010 huko Siakago, Mbeere.
Aidha, taarifa zinaeleza kuwa siku ya tukio hilo Bw. Karanja aliondka kutoka katika kituo chake cha kazi na kwenda Baa kwa ajili ya kumtafuta mwanamke ambaye walikuwa wameachana kwa kosa la kukosa uaminifu katika mapenzi yao. Hivyo, alipomkosa alihamishia harira kwa watu wengine na kuamua kuwamiminia risasi wakiwamo askari wenzake wawili.
Inaelewa kuwa Maafisa hao wawili walikuwa wamekwenda eneo la tukio kufanya uchunguzi baada ya kusikia milio ya risasi na ndipo Bw. Karanja akawapiga risasi.
Akitoa hukumu hiyo, Jaji Florence Muchemi alisema ushahidi uliotolewa mahakamani na mashahidi mbalimbali wa ulitosha kubaini kuwa askari huyo alikuwa na hatia katika tukio hilo.
Aidha, Katika utetezi wake, Karanja alisema kwamba anajutia kosa hilo na anaomba msamaha.
Kupitia wakili wake, Karanja aliomba apewe adhabu ya kifungo cha nje ili aweze kutunza watoto wake, ambao wapo shuleni..
Ephatus Munyi, Rachel Muthoni, Domiciano Muchira, Kinyua Kithumbi, Friendrick Okwako, George Ng'an'ga, Kenwin Muthom
Zaidi Soma:
A police officer, who shot and killed ten people was on Thursday jailed for 20 years by the High Court in Embu.
Peter Karanja committed the crime on November 6, 2010 in Siakago, Mbeere.
Karanja left his workstation and moved from pub to pub shooting people. He was allegedly looking for his estranged girlfriend, whom he had accused of infidelity. When he failed to find her, he vented his anger on innocent revellers and two of his colleagues.
The two officers had gone to the scene to investigate the shooting incident when Karanja turned his gun on them.
Delivering the sentence, Justice Florence Muchemi said the officer opened fire on the victims for no good reasons and without provocation and he deserved to be punished heavily.
Ms Muchemi said evidence given in court by various prosecution witnesses proved beyond any reasonable doubt that the officer was guilty of gruesome murders.
Advertisement
"It is my considered view that the accused deserves a deterrent sentence even if not the mandatory death sentence," she ruled.
In his defence, Karanja said he was remorseful and requested for leniency.
He informed the court that he was a single parent and his wife died in 2012 and that he was the sole breadwinner of his three children aged between nine and seventeen years.
Further Karanja told the court that he was suffering from a terminal disease whose details were confidential.
Through his lawyer, Karanja requested to be handed a non-custodial sentence to be able to take care of his children, who are in school and also seek medical treatment.
Justice Muchemi declined.
Karanja also told the court how he became traumatised when his four colleagues were gunned down by bandits in 1990 as he watched when he was working in Isiolo.
Since then, he claimed his productivity at work performance was affected and he became violent even to his wife and children.
"I sometimes attacked my children and wife, thinking they are bandits and I urge the court to have mercy on me," he said his defence.
Those who were killed in the shooting attack were Ephatus Munyi, Rachel Muthoni, Domiciano Muchira, Kinyua Kithumbi, Friendrick Okwako, George Ng'an'ga, Kenwin Muthomi, Anthony Mwaniki, Frida Ng’endo and Wilfred Gitonga
Okwako and Gitonga were police officers.
After the the court's verdict, Karanja was escorted to prison under tight security.
Source: The Nation
Taarifa zinabainisha kuwa Bw. Peter Karanja alifanya uhalifu huo mnamo Novemba 6, 2010 huko Siakago, Mbeere.
Aidha, taarifa zinaeleza kuwa siku ya tukio hilo Bw. Karanja aliondka kutoka katika kituo chake cha kazi na kwenda Baa kwa ajili ya kumtafuta mwanamke ambaye walikuwa wameachana kwa kosa la kukosa uaminifu katika mapenzi yao. Hivyo, alipomkosa alihamishia harira kwa watu wengine na kuamua kuwamiminia risasi wakiwamo askari wenzake wawili.
Inaelewa kuwa Maafisa hao wawili walikuwa wamekwenda eneo la tukio kufanya uchunguzi baada ya kusikia milio ya risasi na ndipo Bw. Karanja akawapiga risasi.
Akitoa hukumu hiyo, Jaji Florence Muchemi alisema ushahidi uliotolewa mahakamani na mashahidi mbalimbali wa ulitosha kubaini kuwa askari huyo alikuwa na hatia katika tukio hilo.
Aidha, Katika utetezi wake, Karanja alisema kwamba anajutia kosa hilo na anaomba msamaha.
Kupitia wakili wake, Karanja aliomba apewe adhabu ya kifungo cha nje ili aweze kutunza watoto wake, ambao wapo shuleni..
Ephatus Munyi, Rachel Muthoni, Domiciano Muchira, Kinyua Kithumbi, Friendrick Okwako, George Ng'an'ga, Kenwin Muthom
A police officer, who shot and killed ten people was on Thursday jailed for 20 years by the High Court in Embu.
Peter Karanja committed the crime on November 6, 2010 in Siakago, Mbeere.
Karanja left his workstation and moved from pub to pub shooting people. He was allegedly looking for his estranged girlfriend, whom he had accused of infidelity. When he failed to find her, he vented his anger on innocent revellers and two of his colleagues.
The two officers had gone to the scene to investigate the shooting incident when Karanja turned his gun on them.
Delivering the sentence, Justice Florence Muchemi said the officer opened fire on the victims for no good reasons and without provocation and he deserved to be punished heavily.
Ms Muchemi said evidence given in court by various prosecution witnesses proved beyond any reasonable doubt that the officer was guilty of gruesome murders.
Advertisement
"It is my considered view that the accused deserves a deterrent sentence even if not the mandatory death sentence," she ruled.
In his defence, Karanja said he was remorseful and requested for leniency.
He informed the court that he was a single parent and his wife died in 2012 and that he was the sole breadwinner of his three children aged between nine and seventeen years.
Further Karanja told the court that he was suffering from a terminal disease whose details were confidential.
Through his lawyer, Karanja requested to be handed a non-custodial sentence to be able to take care of his children, who are in school and also seek medical treatment.
Justice Muchemi declined.
Karanja also told the court how he became traumatised when his four colleagues were gunned down by bandits in 1990 as he watched when he was working in Isiolo.
Since then, he claimed his productivity at work performance was affected and he became violent even to his wife and children.
"I sometimes attacked my children and wife, thinking they are bandits and I urge the court to have mercy on me," he said his defence.
Those who were killed in the shooting attack were Ephatus Munyi, Rachel Muthoni, Domiciano Muchira, Kinyua Kithumbi, Friendrick Okwako, George Ng'an'ga, Kenwin Muthomi, Anthony Mwaniki, Frida Ng’endo and Wilfred Gitonga
Okwako and Gitonga were police officers.
After the the court's verdict, Karanja was escorted to prison under tight security.
Source: The Nation