beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Kenya Ports Authority (KPA) Managing Director Catherine Mturi-Wairi has been sent on compulsory leave.
Sources tell Citizen TV that Mturi-Wairi was sent home on Wednesday evening by the board for failing to meet performance targets.
The decision follows a series of system failure that have gripped port operations in the last one week.
These failures have resulted into massive delays costing both importers and the port management loss of revenue.
Sources further say the decision was also linked to failure by the port management to curb on illicit imports, counterfeits and contraband.
Mturi-Wairi was appointed to head the port in July 2016.
======
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Catherine Mturi-Wairi ameondolewa kazini kwenye majukumu yake kwa kupewa likizo ya lazima. Bodi ya Bandari imempa Mturi-Wairi likizo hiyo siku ya Jumatano, Mei 30 mwaka huu kwa kushindwa kufikia malengo ya kiutendaji yaliyowekwa
Aidha, inaarifiwa kuwa sababu nyingine za kuondolewa kwa Mkurugenzi huyo ni kushindwa kufanya kazi kwa mfumo mzima wa Bandari kwa wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa katika mapato ya bandari
Mturi-Wairi alichaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari mnamo Julai 2016
Sources tell Citizen TV that Mturi-Wairi was sent home on Wednesday evening by the board for failing to meet performance targets.
The decision follows a series of system failure that have gripped port operations in the last one week.
These failures have resulted into massive delays costing both importers and the port management loss of revenue.
Sources further say the decision was also linked to failure by the port management to curb on illicit imports, counterfeits and contraband.
Mturi-Wairi was appointed to head the port in July 2016.
======
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Catherine Mturi-Wairi ameondolewa kazini kwenye majukumu yake kwa kupewa likizo ya lazima. Bodi ya Bandari imempa Mturi-Wairi likizo hiyo siku ya Jumatano, Mei 30 mwaka huu kwa kushindwa kufikia malengo ya kiutendaji yaliyowekwa
Aidha, inaarifiwa kuwa sababu nyingine za kuondolewa kwa Mkurugenzi huyo ni kushindwa kufanya kazi kwa mfumo mzima wa Bandari kwa wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa katika mapato ya bandari
Mturi-Wairi alichaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari mnamo Julai 2016