Kenya positions self as top kidney treatment destination

What is Tanzania's success rate in the kidney operations? Fools think numbers equal quality. No wonder they cannot treat important people with money, they seek world class medical attention in Kenya or elsewhere not in LDC.

Any Tanzanian with success rate data???.,
 
Umekula lakini!?
 
Soma hiyo article inayozungumzia kupandikiza figo Tanzania, imejieleza hadi sasa success rate ni 100%, au unataka success rate ya tiba ya MOYO?.

Kubali kwamba katika eneo la tiba Kenya mpo nyuma sana, ndio sababu zaidi ya wakenya 10,000 huenda kutibiwa nje ya nchi kila mwaka.

Tunaomba utewekee success rate katika Public Hospital, hii ya 95% ni Private Hospital.
 
Any keen and informed patient considers success rate data in any medical operation before making a decision., the post speaks of high tech quality and 95% success rate., wapi ya Tanzania?

Are you using your population as guinea pigs for medical practicals and training?
 
Public/private/shrine it is in Kenyan soil., I read the article, your medics were working with other experts, some from across hawawezi mention I know, now the experts are 20% Tz 80%, in some sections Tz medics work 100% by themselves, that is not talking of success rate buda boss!.., it is 100% Tanzanian medics working independent of guidance from foreign assistance, and not talking about success rate.
 
Hebu ondoa ujinga wako bhana. Kenya haiwezi ikaifikia Tanzania katika masuala haya. So shutup.
 
Hiyo article ni November 2018, imejiekeza kwamba after one year tutakua tunafanya 100% watanzania, yaani ifikapo November 2019, Leo ni June 18, 2020.

80% ya madaktari wanaofanyakazi katika Private Hospitals Kenya ni wahindi sio wakenya, hata huyo Dr.aliyetoa hizo data huko Kenya ni mhindi sio Mkenya.

Tafadhali tunalinganisha Public Hospitals kwasababu ndiko wanakotibiwa 98% ya wananchi, Private Hospital is only for few people.
 
Now tell me success rate ya kidney operations zenyu?., not mere quantity(numbers), that is what determines the best from mediocre, no wonder important people don't seek medical attention in your hospitals, they prefer Kenya SA or fly out as far as the US or India.
You people like arguing without proper understanding. Next time soma, rudia tena, uliza swali mahali hauelewi, kisha utaelewa, don't jump in like a baboon.[emoji23]
 
Weka success rate ya operations zenyu, if I need treatment that is what I will consider, vipi wewe!., the reason no important persons seek your medical attention, bado munafanyia raiya wenyu masikini testing.,
Hebu ondoa ujinga wako bhana. Kenya haiwezi ikaifikia Tanzania katika masuala haya. So shutup.
 
yaani unaruka ruka tu kama malaya aliye site hata hujielewi [emoji4][emoji4][emoji3][emoji3]

ushachapika bora ukae kimya tu ungojee kuzalishwa
 
Success rate? Ndio maana Rwanda ranks above you in best healthcare in East Africa, nyie ni kelele na kulishwa propaganda na ccm utafiti ukifanywa muna angukia pua![emoji23]
yaani unaruka ruka tu kama malaya aliye site hata hujielewi [emoji4][emoji4][emoji3][emoji3]

ushachapika bora ukae kimya tu ungojee kuzalishwa
 
Success rate? Ndio maana Rwanda ranks above you in best healthcare in East Africa, nyie ni kelele na kulishwa propaganda na ccm utafiti ukifanywa muna angukia pua![emoji23]
kwani we shida yako ni nini.....?
 
Umeshindwa kuleta data ya success rate ya medical operations carried in your "superior" hospitals? Vipi wewe...,
kwani we shida yako ni nini.....?
 
kama ishu ni hivyo huduma bora hupimwa kwa kumention country basi utakuwa unamapungufu ya akili[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1482198View attachment 1482199View attachment 1482200
Understand which people came up with the rankings, how they researched; criteria they used, it is from medical experts and reputable health organizations, sio mtazamo wa CCM, najua imekushangaza kwa sababu imeumbua mtazamo wako which has been erroneous clouded by blind patriotism that you can't think beyond.
 
usijidanganye mazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…