I think every country have ministries,this project falls under the ministry of information n technology(kenya)-its duty is 2 ensure kenyans have modern technology n faster acess 2 internet n many more services.every ministry is allocated certain amount for its daily activities,xo sayin this money shud help the poor is out of context coz there r ministries 4 that n theyr also alocated funds(although ufisadi takes it share)
Priorities za waafrika zinachekesha sana, nchi ambayo wananchi wake wanakufa kila siku kutokana na uhaba wa chakula wanatumia mabilioni kwa ajili ya mtandao. Na kuna watu hapa wanashangilia hapa wanayaona hayo ni maendeleo...
Bukyanagandi, nimecheka sana, kuna mdau ana-suggest ICT Tanzania ni kama haipo? Pamoja na ukubwa wake, sasa hivi mikoa yote Tanzania iko linked na Fibre optic. Hizi publicity Kagame kidogo aingie mkenge maana aliamini the best link ilikuwa Kenya, alikuja kushtuka at 11th na kesho yake watu wake waliamkia office za ZANTEL. Sasa hivi Rwanda iko linked na TZ na Kenya ameichukua kama 'backup'. Kwa kifupi ICT ya Tanzania iko swafi, na naongea kutoka jikoni.
Certified with the systems you have just mentioned, there is nothing to be re-invented, but to be followed and implemented in all african states. Kenya is showing the way to the futureIt's all about financial inclusion and development which is a key pillar in the finance ministry. Most kenyan banks last year embarked on Agency banking solutions to try and get crowds off their banking halls. It has been a great success and most financial institutions are going that way. I have just come from a session whereby money gram and western union transfers are being upgraded to enable agents offer the service at commissions of over Kes 250 per transaction.
Most of this agents use 3G enabled POS devices to upload and download data. Upgrade to faster 4G technology will see offer an incentive to the financial providers to offer more and more products using this technology. Already safaricom is opening up it's mpesa system to integrate with core banking systems with the advent of 4G.
Bukyanagandi, nimecheka sana, kuna mdau ana-suggest ICT Tanzania ni kama haipo? Pamoja na ukubwa wake, sasa hivi mikoa yote Tanzania iko linked na Fibre optic. Hizi publicity Kagame kidogo aingie mkenge maana aliamini the best link ilikuwa Kenya, alikuja kushtuka at 11th na kesho yake watu wake waliamkia office za ZANTEL. Sasa hivi Rwanda iko linked na TZ na Kenya ameichukua kama 'backup'. Kwa kifupi ICT ya Tanzania iko swafi, na naongea kutoka jikoni.
Bukyanagandi, as much as you're one of the people I respect on this forum, I'm afraid to say that you're being liberal with the facts here. As it stands now, there are four cables connecting Kenya and two connecting TZ. Kenya has over 5,000 kms of terrestrial fibre cable across Kenya while the latest info on the Chinese funded TZ one is that there are only about 3,600 kms laid across the country (the main backbone across Kenya was actually completed 7 years ago). If you want to know where Kenya stands on IT vis-à-vis the rest of the world, google the term "silicon savannah" and read up on the sector.Mkuu nakwambia wakati mwingine huwa nashikwa bumbuwazi nikisoma mambo yao ambayo wakati mwingine wanaweka chumvi mno, kwa mfano niliwahi kuona wanazungumzia kuhusu Fibre optic nchini mwao, nilitaka kujibizana nao lakini nikaona hamna haja-yaani hawana habari kwamba ring circuits za fibre zimekwisha zunguka Tanzania nzima siku nyingi tu. Kumbuka Kenya inaingia karibu mara mbili na ushee kwenye eneo la TANZANIA na wala atukwenda kuwaomba French au British Telecomms watusaidie katika azma yetu ni waswahili tu wanao tandika cable hizi, wanajua vizuri ku-kutofautisha kati ya single na multi mode cables zinahitajika kufungwa wapi na kwa madhumuni gani wamejifunza jinsi ya kuzi-splice to a surgical precision.
Kuhusu raisi Kagame, jamaa huyu ni makini sana hawezi kuingizwa kwenye mkenge na watu ambao wako obsessed na publicity STUNT zisizo na tija. Haya ya mambo ya kusema Tanzania ICT haipo wana maana gani! Inawezekana wenzetu wakawa wanaji-equate kwenye league ya makampuni yalioko Silicon Valley na Hydrabald, je ni kweli wamekwisha fikia kiwango hicho? nakubali wamefanikiwa kutengeneza program (application Program) ya M-Pesa ambayo kusema kweli ni killer app.program na imesaidia sana katika mambo ya ku-transact PESA, I salute 'em for that; however, the question is: Has M-Pesa anything to do with ICT? I thought ICT is strictly a DATA Communication entity, repeate "commmunication" Hivi kuna nchi yoyote duniani zama hizi ambayo haina wizara/idara inayohusika na mambo ya ICT, kama wewe si raia wa Tanzania unawezaje kujua kinacho endelea jikoni kwa jirani yako - Tanzania siyo nchi ya kuhitisha press conference ovyo ovyo kila ikitaka kufanya kitu kuhusu maendeleo yake - who needs it.
Bukyanagandi, as much as you're one of the people I respect on this forum, I'm afraid to say that you're being liberal with the facts here. As it stands now, there are four cables connecting Kenya and two connecting TZ. Kenya has over 5,000 kms of terrestrial fibre cable across Kenya while the latest info on the Chinese funded TZ one is that there are only about 3,600 kms laid across the country (the main backbone across Kenya was actually completed 7 years ago). If you want to know where Kenya stands on IT vis-à-vis the rest of the world, google the term "silicon savannah" and read up on the sector.
Go Go kenya, Nadhani ikija kwa maneno ya vision2030, kenya inaonyesha mfano mwema wa kuigwa, ambao Rwanda na Uganda pekee is learning. Pia inaonyeshaha mpangilio na raslilmali kubwa mno inazo kutekeleza mipango yake. Hii ni habari tamu. kenya has laid to date four undersea fibre optic cables. Kama jinsi mwanajF alivosema hapo awali, a nation and its character is a reflection of its people. Naona kuwa ili Afrika isonge mbele, lazima tuanze miradi kama hizi. ICT ya Tanzania is way below standard ukilinganisha na Kenya. Ndio mtu mwingine akili maji akaanza kukemea Konza city na tatu city/silicon valley.
Has M-Pesa anything to do with ICT? I thought ICT is strictly a DATA Communication entity, repeate "commmunication" Hivi kuna nchi yoyote duniani zama hizi ambayo haina wizara/idara inayohusika na mambo ya ICT, kama wewe si raia wa Tanzania unawezaje kujua kinacho endelea jikoni kwa jirani yako - Tanzania siyo nchi ya kuhitisha press conference ovyo ovyo kila ikitaka kufanya kitu kuhusu maendeleo yake - who needs it.
Hehehehe... :lol: As if m-pesa system can work without data being transmitted over communication channels.
Mkuu, nakuomba usome vizuri nilicho andika humu husikurupukie MAMBO, mimi sijuhi ulewa wako katika fani ya communication ni wa kiwango gani! Kwani M-Pesa inahitaji kitu gani kuwasiliana na simu nyingine, can you send M-PESA raw!!!!! Hamna popote humu nimesema M-Pesa haitaji mawasiliano. Kwani kwa mawazo yako unafikili M-Pesa ina-occupy slot gani katika seven OSI layers ? Don't try to be bigger than your HEAD, sorry.
Boss!! Let's keep things simple. You said that mpesa is not a part of ICT. You went further and said ICT encompasses only data communications. Explain to me like a two year old why you said that and I will come up with my remarks on the same. Wow!! Ati you can't send mpesa raw!!! Have come across the term electronic cash.
Mkuu mbona unielewi? mimi nazungumzia ni kitu gani kinaendelea between your handset/mobile, pc and all DCEs kabla havija tuma DATA husika, vifaa hivi vinazungumza kwanza vyenyewe kwa vyenyewe vitu kama:kuomba kutuma, kukubaliwa, hiko busy, kasi/speed, hakuna mawasiliano nk ninacho zungumza humu ni signalling/handshake kabla ya kutuma data husika. Ujanua kabisa nazungumzia mambo ya communication lakini sijuhi una tatizo gani, wewe unafikili bila mambo hayo kukamilishwa kwanza kuna DATA yoyote inaweza kutumwa kwenye media yoyote!!!
the question is: Has M-Pesa anything to do with ICT? I thought ICT is strictly a DATA Communication entity, repeate "commmunication"
Hehehehe... :lol: As if m-pesa system can work without data being transmitted over communication channels.
[FONT=arial, sans-serif]
[/FONT]