Kenya sasa balaa, ukikamatwa unakiuka maagizo unatiwa karantini siku 14 kisha jela inakuhusu

Kenya sasa balaa, ukikamatwa unakiuka maagizo unatiwa karantini siku 14 kisha jela inakuhusu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hiki kirusi kinabadilisha maisha kama tulivyoyafahamu na kuyazoea, hizi ni enzi za uchizi fulani hivi, naona kwenye habari hapa jamaa wamekamatwa wakinywa pombe kimya kimya maeneo fulani, yaani wote wametiwa lockup na kupelekwa karantini siku 14 kisha baada ya hapo jela itawahusu.

Hamna kingine haswa kwa wale waliozoea kwenda vilabuni ili kukwepa kero za nyumbani, sasa ni mwendo wa kuvumiliana ndani ya nyumba, mnaingia nyote saa moja wakati wa machweo, aidha mnuniane au mchangamkiane, mtajua wenyewe, na pia imetolewa amri hamna mambo ya kutembeleana, msikutwe mumekusanyika kwa nyumba yoyote.
Noma sana sijui itaandikwa vipi kwenye vitabu vya historia.
 
Watu wamekatwaza kwenda kufanya mikusanyiko kilabuni, ni ngumu mtu kujitambua akiwa amelewa na taadhari ambazo zinatakiwa kuchukuliwa kujikinga na kilevi zinakuwa hazifatwi, na ni hatari kuwaambukiza wengine.

Mie naona sawa wafungwe na walime mashamba tupate mazao kipindi hiki cha njaa. .
 
aiseee pima pima iendelee mazeee....huyu mzee wa popo bawa COVID-19 anaweza kupiga kambi Afrika na kutuuwa kama kuku wa mdondi.😂
 
Africa tuna zidisha panic ..

Waliokufa Kwa Corona
Uganda 0
Tz 5

Why all this panic?
NairobiWalker
JF-Expert Member

Joined Oct 30, 2012
rep.png
5,211
point.png
2,000

After 34 new cases were reported yesterday, now 53 have been reported. Meanwhile, new cases in Kenya have dropped to 9 as rate of infection goes down. Tanzania tally now rises to 147 and still rising fast.

Magufuli was told, he didn't heed. Hii kitu haitaki kifua.

Tanzania's coronavirus cases jump from 94 to 147 after more test positive
 
Africa tuna zidisha panic ..

Waliokufa Kwa Corona
Uganda 0
Tz 5

Why all this panic?
Mortality rate ya Corona sio tatizo kubwa, ila kinavyosambaa, inapaswa kuwa na uwoga, inapaswa tutishane kupita maelezo maana kunao walifanya huu uzembe tunaoufanya leo na wanajutia kupita maelezo.
Wengi wetu tuna uwezo wa kustahimili, lakini kikigonga waliko wazee wetu, tutapoteza kizazi cha wazazi wetu wote, yaani kila mtu zaidi ya miaka 50 tunaweza tukampoteza.
 
Hivi hizi sheria bado mnazifuata [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pimaaaaa pimaa pimaaaaa pimaa
Pimaaaaa weee.
 
tupia update mkuu maana kirusi kimechacha upya, please msifiche data msijeonekana mmejichokea
 
Back
Top Bottom