Bowbow JF-Expert Member Joined Oct 20, 2007 Posts 541 Reaction score 32 Jan 19, 2008 #1 baada ya kushinwa kupambana na polisi bara barani watu wameanza kuvamia Reli, n.k na kubomoa. Je, plan B ya Raila ya kushawishi watu kususia bidhaa za hardliners wanao,sapoti kibaki Zitafanikiwa? http://www.nationmedia.com/dailynation/nmgcontententry.asp?category_id=1&newsid=114920
baada ya kushinwa kupambana na polisi bara barani watu wameanza kuvamia Reli, n.k na kubomoa. Je, plan B ya Raila ya kushawishi watu kususia bidhaa za hardliners wanao,sapoti kibaki Zitafanikiwa? http://www.nationmedia.com/dailynation/nmgcontententry.asp?category_id=1&newsid=114920
Bongolander JF-Expert Member Joined Jul 10, 2007 Posts 5,067 Reaction score 2,210 Jan 19, 2008 #2 This one sounds stupid, but i if implemented, it will have a huge impact and some one will have to listen whether he likes it or not. Smart move, but bad and dangerous!
This one sounds stupid, but i if implemented, it will have a huge impact and some one will have to listen whether he likes it or not. Smart move, but bad and dangerous!
Bowbow JF-Expert Member Joined Oct 20, 2007 Posts 541 Reaction score 32 Jan 19, 2008 Thread starter #3 Pamoja na hayo waliopanga kufanya sikujua kama Odinga alikuwa ni mmojawapo wa aliyepanga kuipindua serikali ya Kenya mwanzoni mwa 1980s. Swali ni kwamba, Je sasa atatumia hiyo technique kumwangusha Kibaki? Wataalam wanasema, jibu litaanza kujulikana baada ya siku 7.
Pamoja na hayo waliopanga kufanya sikujua kama Odinga alikuwa ni mmojawapo wa aliyepanga kuipindua serikali ya Kenya mwanzoni mwa 1980s. Swali ni kwamba, Je sasa atatumia hiyo technique kumwangusha Kibaki? Wataalam wanasema, jibu litaanza kujulikana baada ya siku 7.