Lkn TZ yetu imo Top 10 pia, hivyo siyo mbaya sana, ingawaje ukiangalia idadi ya watu kwa kweli tuna uchumi mdogo sana.
BTW, TZ yetu miaka ya 80’ hadi 90’ ilikuwa nchi ya pili kwa umaskini Duniani baada ya Msumbiji, hivyo siyo sawa kusema TZ tumepiga usingizi ukilinganisha na tulipotoka tumepiga hatua kubwa sana kwenda mbele!
Mabeberu watapata tabu sana kujaribu kuendelea kuibeba Kenya Kwa kupika data mbali mbali ili kuaminisha dunia kuwa Kenya kuchagua kuwalamba miguu na kuwa abudu mabeberu ni jambo sahihi kwa sababu Kenya ni kama zigo la mavii alibebeki
Hiyo GDP yenu ya kwenye makaratasi haiwezi kututisha kamwe 😂😂😂
Pimbi za Kenya zimepika GDP dunia ilisha sema lengo ni jubilii na Uhuru wasidhalilike Kwa kupitwa na Ethiopia. True GDP ya Kenya $ 72Bil
Si ni hivyo nayo jubilee inavyowafunza kupika data 😂😂😂Hivyo ndivyo CCM imemfunza. 😂 😂 😂
GDP ni calculation ya vitu vilivyo mashinani.
Si ni hivyo nayo jubilee inavyowafunza kupika data 😂😂😂
Mkiambiwa mnapika data mnaumia balaal 😂😂😂
GDP ya kwenye makaratasi isiyoweza hata kufanya mradi kwa Pesa zake hadi mkope,
GDP isiyowanufaisha wakenya zaidi ya kuliwa na wachache 😂😂😂
Haiwasaidii chochote watu wa turkana na zile counties zingine 24 ambazo hazina chakula zaidi ya kutegemea misaada ya chakula karne hii kutokana na kufisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji 😬😬😬
Data yenyewe sio yetu.
GDP ni hesabu ya IMF. Tutapika vipi?
US GDP yake $20 trillion, lakini lazima wakope miradi yao. Kwa hivyo point yako gani?
Wewe kama mtu wa LDC, nakuelewa unapofikiria GDP ya $100 billion ni kubwa. Lakini ili Kenya ijitoe kwa umaskini, tunahitaji GDP ya $500 billion kwenda juu.
Lakini vile vile, hii GDP yetu imejenga lami mara mbili Tanzania. Stima mara mbili na nusu. Mishahara mara mbili.
Hahahaha Kawadanganye wana kibera wenzako huko,Data yenyewe sio yetu.
GDP ni hesabu ya IMF. Tutapika vipi?
US GDP yake $20 trillion, lakini lazima wakope miradi yao. Kwa hivyo point yako gani?
Wewe kama mtu wa LDC, nakuelewa unapofikiria GDP ya $100 billion ni kubwa. Lakini ili Kenya ijitoe kwa umaskini, tunahitaji GDP ya $500 billion kwenda juu.
Lakini vile vile, hii GDP yetu imejenga lami mara mbili Tanzania. Stima mara mbili na nusu. Mishahara mara mbili.
Vipi kuhusu 30% ya thamani ya pesa yenu 😂😂😂Yaani hawa hata elimu ya msingi kwao ni mtihani, sijui huwa wanasoma vipi kwa kweli, siku nyingine nikitembelea Bongo nitatamani niingie kwenye darasa moja nione kitu gani wanafundishwa, hizi data sio zetu, sio sisi tumezitangaza, sasa unashindwa IMF watapika data za nchi moja ya Kenya ili iweje.
By 2023 tutakua tumepita Morocco na kuiacha mbali sasa tuanze kufukuzana na Algeria.As usual ccm bullshit ...mabeberu wamefanya nini[emoji1787] ..next tunaangusha morocco hata oil revenue haijaingia bado
Ndugu,the data was compounded as for the next year. Ungeelewa Kama ungekua na shahada ya Economics, Actuarial science ama Statistics. La sivyo unajiaibisha kakangu.
Si ni hivyo nayo jubilee inavyowafunza kupika data 😂😂😂
Mkiambiwa mnapika data mnaumia balaal 😂😂😂
GDP ya kwenye makaratasi isiyoweza hata kufanya mradi kwa Pesa zake hadi mkope,
GDP isiyowanufaisha wakenya zaidi ya kuliwa na wachache 😂😂😂
Haiwasaidii chochote watu wa turkana na zile counties zingine 24 ambazo hazina chakula zaidi ya kutegemea misaada ya chakula karne hii kutokana na kufisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji 😬😬😬
Kumbe haiwahusu hawa jamaa kwenye videoEhe he hee,
😂😂🤣
mkulu GDP yao haihusiani na kibera na Turkana sijui wapi huko kwingine.
Yao inahusiana ranking tu.
Kumbe haiwahusu hawa jamaa kwenye video
Wenye hali nzuri Ni hao wenye per capital kubwa msilete ujinga wenu tafadhali...
Mitanzania endeleeni kulala usingizi wa pono. Miwivu rukhsa.
List of African countries by GDP (nominal)
Read in another language
Download PDF
Watch
Edit
Gross domestic product (GDP) is the market value of all final goods and services from a nation in a given year. Countries in Africa are sorted according to data from the International Monetary Fund. The figures presented here do not take into account differences in the cost of living in different countries, and the results can vary greatly from one year to another based on fluctuations in the exchange rates of the country's currency.[1] Such fluctuations may change a country's ranking from one year to the next, even though they often make little or no difference to the standard of living of its population.[2]
Some countries may have citizens that are on average wealthy. These countries/regions could appear in this list as having a small GDP. This would be because the country/region listed has a small population, and therefore small total economy; the GDP is calculated as the population times market value of the goods and services produced per person in the country.[3][4]
These figures should therefore be used with caution.
Comparisons of national wealth are also frequently made on the basis of purchasing power parity (PPP), to adjust for differences in the cost of living in different countries. PPP largely removes the exchange rate problem, but has its own drawbacks; it does not reflect the value of economic output in international trade, and it also requires more estimation than nominal GDP.[5] On the whole, PPP per capita figures are more narrowly spread than nominal GDP per capita figures.[6]
Map of Africa by 2008 nominal GDP (billions USD):
>200
100–200
50–100
20–50
10–20
5–10
1–5
Map of Africa by 2017 nominal GDP per capita (USD)
The 2019 estimates are as follows:[7][8][9][10]
GDP (Nominal) of Africa 2019
Nigeria (18.13%)
South Africa (15.13%)
Egypt (12.21%)
Algeria (7.49%)
Morocco (4.94%)
Kenya (4.04%)
Angola (3.76%)
Ethiopia (3.71%)
Ghana (2.78%)
Tanzania (2.78%)
Other Countries (27.81%)
2019 Rank Country Nominal GDP
($ billions) Nominal GDP
per capita (US$)
Notes
1 Nigeria 444.916 2,233.45
2 South Africa 371.298 6,331.46
3 Egypt 299.589 3,019.72
4 Algeria 183.687 4,229.78
5 Morocco 121.35 3,409.95
6 Kenya 99.246 2,010.51
7 Angola 92.191 3,060.02
8 Ethiopia 90.968 951.10
9 Ghana 68.258 2,262.57
10 Tanzania 61.032 1,172.18
11 Democratic Republic of the Congo 48.458 495.08
12 Côte d'Ivoire 45.252 1,722.26
13 Libya 44.964 6,835.62
14 Cameroon 39.219 1,537.61
15 Tunisia 36.204 3,072.51
16 Uganda 33.569 8[11]28.06
17 Sudan 31.468 728.06
18 Senegal 25.32 1,510.20
19 Zambia 24.615 1,343.57
20 Zimbabwe 22.29 1,423.49
21 Botswana 19.651 8,263.22
22 Mali 17.833 933.88
23 Gabon 16.709 8,031.44
24 Mozambique 15.372 493.37
25 Burkina Faso 14.882 744.24
26 Mauritius 14.812 11,693.55
27 Namibia 13.961 5,675.11
28 Madagascar 12.734 470.67
29 Guinea 12.623 926.33
30 Equatorial Guinea 12.432 9,140.32
31 Chad 11.372 888.29
32 Benin 11.184 954.10
33 Republic of Congo 11.162 2,443.75
34 Rwanda 10.211 829.97
35 Niger 9.724 487.68
36 Somalia 7.903
37 Eritrea 7.718 1,253.06
38 Malawi 7.436 366.532
39 Togo 5.592 682.40
40 Mauritania 5.569 1,191.51
41 Eswatini 4.662 4,205.67
42 Sierra Leone 3.998 516.76
43 Burundi 3.573 309.87
44 Liberia 3.221 703.67
45 South Sudan 3.151 235.52
46 Lesotho 2.811 1,372.51
47 Djibouti 2.392 2,218.05
48 Central African Republic 2.285 440.99
49 Cabo Verde 2.042 3,650.11
50 The Gambia 1.741 778.08
51 Seychelles 1.654 17,154.74
52 Guinea-Bissau 1.538 865.74
53 Comoros 0.726 832.87
54 São Tomé and Príncipe 0.477 2,147.16
Yeah you're right lakini toa SA hapo...Wenye hali nzuri Ni hao wenye per capital kubwa msilete ujinga wenu tafadhali...
Seychelles, Mauritius,Botswana,Namibia,S.A.
UJINGA wa NIGERIA Ni ukubwa wa PUA tu
Hahahaha Kawadanganye wana kibera wenzako huko,
Lami zenye vitobo kila kona,
Kujisifia una pesa wakati familia yako inateseka kila siku na njaa,
Mishahara na migomo haiishi.