Kenya: Sawa Raila kajiondoa, je pesa za kampeni anarudisha?

Kenya: Sawa Raila kajiondoa, je pesa za kampeni anarudisha?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Niliwahi kusema siasa mchezo mchafuu sanasana

Kunasehemu niliwahi andika hao jamaa wanaelewa walichofanya mnashabikia bure kufutwa uchaguzi bila kujua jamaa wako pamoja

Sijaona kipya kwa rails kujiondoa nilitegemea hill maana alikuwa anaenda kupata kura chache zaidi ya alizozipata pale ndio angeelewa maaharage n mboga na n zao LA biashara

Sawa RAILA AMEJIONDOA VIPI ULE MZIGO ALIPOKEA KUTOKA KODI ZA WATU KWA AJILI YA KAMPENI...NAZO ANARUDISHA HAYA NDIO MASWALI YAKUJIULIZA ZAIDI KILA SIKU KABLA YA KUSHABIKIA UPINZANI
 
Niliwahi kusema siasa mchezo mchafuu sanasana

Kunasehemu niliwahi andika hao jamaa wanaelewa walichofanya mnashabikia bure kufutwa uchaguzi bila kujua jamaa wako pamoja

Sijaona kipya kwa rails kujiondoa nilitegemea hill maana alikuwa anaenda kupata kura chache zaidi ya alizozipata pale ndio angeelewa maaharage n mboga na n zao LA biashara

Sawa RAILA AMEJIONDOA VIPI ULE MZIGO ALIPOKEA KUTOKA KODI ZA WATU KWA AJILI YA KAMPENI...NAZO ANARUDISHA HAYA NDIO MASWALI YAKUJIULIZA ZAIDI KILA SIKU KABLA YA KUSHABIKIA UPINZANI
Sema kabla ya kumshabikia Raila!

Upinzani upo kikatiba.
 
Ilaa bora huku madiwan wananunuliwa cyo huko ken..had mgombea wa urais kafika bei
 
Kwani Mange hajasema chochote?
Katiba yao inasemaje likija jambo la kujitoa mgombea?
 
Mzee Raila aisee... Haoni taabu kuitia hasara nchi yake. Round ya kwanza wenzake wanafanya campaign yy na team yake wako busy mahakamani na wakipanda jukwaani ni kutoa vitisho tu, watatutambua ngoja tuingie madarakani. Uchaguzi umefutwa imepangwa tarehe kaikataa, wamebadili tarehe wameanza campaign tena kutwa kuamrisha watu wake kuandamana. Sasa amesoma majira na nyakati kaona mmmmh nitokee kivingine.... Hasara kwake sio shida.
 
Mzee Raila aisee... Haoni taabu kuitia hasara nchi yake. Round ya kwanza wenzake wanafanya campaign yy na team yake wako busy mahakamani na wakipanda jukwaani ni kutoa vitisho tu, watatutambua ngoja tuingie madarakani. Uchaguzi umefutwa imepangwa tarehe kaikataa, wamebadili tarehe wameanza campaign tena kutwa kuamrisha watu wake kuandamana. Sasa amesoma majira na nyakati kaona mmmmh nitokee kivingine.... Hasara kwake sio shida.
Mzigoo wakampeni kakamata wamanaa unamtosha ajifie zake
 
Hata Zanzibar chama furani kikasusia uchaguzi nawewe Kenyatta Chapa Kazi...acha kuperekeshwa na Odinga na mshauri wake Magu....stupd
 
Back
Top Bottom