Kenya shilling overvalued by 30pc, report claims

I'm sure you're making up figures as you go.
But you should note that a lot of that remittances is from Tanzanians in Kenya.
Kenya is your diaspora.
There is no shame where remmittances are comming from..A huge chunk of eastleagh is built from somali money..Roysambu is built by blood money from south sudan..
 
Najua inakuuma sana, lakini ni $99 billion.
Tafuta figure za IMF sio kushusha data. Unamaliza kupika za Tanzania unakuja kupika za Kenya?
Hao IMF ndio waliosema kwamba Kenya mnaongeza thamani ya pesa yenu. Hivi nani anayepaswa kutumia zaidi kati ya mtu anayejiita tajiri lakini watoto wake wanakufa njaa, na yule ambaye anapata chakula cha kutosha, anaishi NYUMBA nzuri kwa pesa yake lakini anajiita masikini?
 

Kenya GDP in 2014 ilikua $61.5B,
Kwa wastani uchumi umekua kwa 5.6%.
Kutoka 2014 mpaka 2018 ni miaka minne, onyesha ni kivipi ndani ya miaka minne mnaweza kuongeza $35B, hahahahaha, hicho ni kichekesho, wadanganyeni wakenya wenzenu.
 
Yes we do so to increase our exports, as the result our exports to EAC and SADC have tripled while that of Kenya have been going down.
 
A very primitive boy from the lineage of kinjeketile ngwale. Now predicting the future as if he knows everything.
Despite Kenya's shortcomings, the country is great & blessed & no weapon formed against her shall prosper.
 
Explain to them, i find some people here very daft.. common logic would serve them well.
 
Lazima duniani kuwepo na "regulatory body" . IMF na WB ni watch dogs wa dunia katika mambo ya fedha na uchumi ili kutoa taarifa sahihi za uchumi wa kila nchi, ili kuzisaidia nchi husika kujua uchumi wake unaendaje kwa kujilinganisha na chumi za nchi zingine duniani, pia kuwasaidia wawekezaji na wafanyabiashara waweze kufanya maamuzi sahihi katika kufanya investments.

Ili IMF na WB waweze kulinganisha chini zote duniani kwa usawa, lazima kuwepo na pesa moja itakayotumika kama "standard Unit", kwamba chumi zote duniani na pesa zote zinathaminishwa kwa kulinganishwa na $. Ikitokea nchi yoyote inaongoza au kupunguza thamani ya uchumi wake, basi American dollar inatumika kutatmini uchumi huo kama ilivyo Kenya.
 
That's not how GDP growth is measured wacha ujinga.
 
That's not how GDP growth is measured wacha ujinga.
Hahahahaha, elimu yenu zaidi ya ukabila na kiingereza hamna mnachofundishwa zaidi. Sema wewe ulivyofundishwa, GDP ya nchi inapatikanaje?
 
Yes we do so to increase our exports, as the result our exports to EAC and SADC have tripled while that of Kenya have been going down.

Our exports have also tripled. We're selling much more to Europe, USA, UAE, Pakistan etc.
 

Don't take things too literally.
The Ksh of 2014 is not the same as the Ksh of 2018.
 

Because at one point IMF said something, you will always go with that report? Kwanini basi hatutumii GDP figure zao za 2010?

Rule of the thumb. Go with their last report.
The last report trumps all previous ones.
 
Don't take things too literally.
The Ksh of 2014 is not the same as the Ksh of 2018.
Sasa wewe mbona unakwepa mada?, jibu swali kitaalamu kwasababu hili swali linahitaji hesabu sio Maneno tupu.
2014 Kenya GDP was $61.5B
Economy growth rate, average 5.6% per year
Calculate GDP of Kenya in 2018
 
Because at one point IMF said something, you will always go with that report? Kwanini basi hatutumii GDP figure zao za 2010?

Rule of the thumb. Go with their last report.
The last report trumps all previous ones.
Hata hujulikani unachozungumza, unapiga kelele hovyo hovyo tu. IMF imesema Kenya GDP is $90B, at the same time IMF inasema Kenya ovarevalued its currency by 17.5%. Hii maana yake ni kwamba GDP ya Kenya imekua inflated by 17.5%
 
Our exports have also tripled. We're selling much more to Europe, USA, UAE, Pakistan etc.
Exports have not kept increasing as a % GDP, infact they have fallen sharply👇👇


While in Tz Exports as a % of GDP have been increasing except for 1 or 2 years exception
 
Hata hujulikani unachozungumza, unapiga kelele hovyo hovyo tu. IMF imesema Kenya GDP is $90B, at the same time IMF inasema Kenya ovarevalued its currency by 17.5%. Hii maana yake ni kwamba GDP ya Kenya imekua inflated by 17.5%

IMF ilisema shilling is overvalued.
Then that report become outdated, reviewed and overtaken by time. Months later, wakasema Kenya GDP iko sahihi at $99 billion.
Kwa nini wataka kurudia ripoti za kitambo?
 
Sasa wewe mbona unakwepa mada?, jibu swali kitaalamu kwasababu hili swali linahitaji hesabu sio Maneno tupu.
2014 Kenya GDP was $61.5B
Economy growth rate, average 5.6% per year
Calculate GDP of Kenya in 2018

The currency also re-adjusts itself over time. GDP is calculated in dollars. If your shilling weakens over time, when it comes to converting back to dollar, it will see only a minimal growth. And vice versa.

Kumaanisha if your economic output is Tsh100 trillion this year, and Tsh110 trillion next year. That's 10% growth.
But kama shilingi yenu ilitupa value over that period, converting back to USD will give you a smaller figure than you expected.
 
Sawa sawa kabisa, ndio sababu factors zote hizo zinakuwa included. In case of Kenya kwanza unatafuta "How much Kenya got for four years from 2014 to 2018 from growth rate of 5.6% per year, then you multiply by a factor( the strength of your money), this factor in our country is always either is number one(1), if its value in relation to $, is the same like previous year, or bigger than one, if the currency gained against $, or less than one (0.9) if it lost to $.

Now what happened with your GDP, after you got your true GDP from 5.6% of your $61.4B(your GDP 2014), you have been using constant which is bigger than one(17.5%) which indicates Kshs gained to $. That's why Kenya Economy was inflated by 17.5% and 30% respectively.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…