Kenya: Shule kufunguliwa mwaka 2021

Kw sababu hyo elimu kenya inatolewa kw kingereza..
Kwhyo hata usishtuke sana unapoakia vitu km hvyo, yani uende ukasomee ufaransa alafu ukirudi utusifie una elimu lkn kifaranaa zero..nani atakuelewa kwwli
Hakuna kozi zinazotolewa kwa kingereza huko Ufaransa
Bring another example dude.
 
Specify.
Wa shule gani!??
All public school teachers wataendelea kupata mishahara yao kama kawaida serikali haina nguvu ya kusitisha mishahara hio....tyari bajeti ya $5b ya elimu ilishapitishwa..pia serikali itachukua muda huu kuimprove school infrastructure
 
Wa private schools wale nyasi sio!?
All public school teachers wataendelea kupata mishahara yao kama kawaida serikali haina nguvu ya kusitisha mishahara hio....tyari bajeti ya $5b ya elimu ilishapitishwa..pia serikali itachukua muda huu kuimprove school infrastructure
 
Anatumia hio kauli ya lake zone eti ndio kwao atukanganye sisi ambayo sio wa huko ili asitambulike wakati yeye ni mmoja wa wale wapiga ramli wa chato.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Wacha ubishi wa kijinga maana hufahamu chochote kuhusu Tz,

Tanzania imegawanywa katika kanda kuu sita,

Ndio maana umeambiwa ukimuambia Mtanzania yoyote unatokea kanda ya ziwa atafahamu unatokea mikoa gani,

Ngoja nikufundishe ili uache kubisha ovyo vitu usivyo vifahamu,


KANDA YA PWANI
Kanda hii imeundwa na mikoa mitatu, yaani mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro.

KANDA YA KASKAZINI
Kanda ya Kaskazini imeundwa na mikoa minne, ambayo ni; Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga

KANDA YA ZIWA
Kanda hii imeundwa na mikoa ya Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu, Kagera na Mara.

KANDA YA KATI
Kanda hii imeundwa na mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora na Kigoma.

KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
Kanda hii imeundwa na mikoa ya Mbeya, Iringa, Katavi, Njombe, Songwe na Rukwa.

KANDA YA KUSINI
Kanda hii imeundwa na mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma.
 
Ni jambo zuri ! Ila concern ni swala la ungezeko la UJAUZITO mpaka kufika iyo 2021 ah kazi itakuwa kubwa hapo
 
Kama ni hivyo ,basi serikali ya rais uhuru iwape wananchi mitaji ya kufanya kazi ili waendeleze uchumi, Maana shughul za elimu zimeingia katika hali ya sintofaham kikubwa raia wawezeshwe wafanye miradi maana shughul za mtu mmoja mmoja hazijaonekana chanzo cha maambukizi
 
Kanda zimeundwa kwa ajili ya utawala na ndio maana nikasema for adminstrative purposes upo sahihi lakini kwa uhalisia mtu wa tanga ,Lindi na mtwara yeye bado yupo pwani na ni mpwani huwezi ukamueka kundi moja na mtu wa manyara au eneo lolote lile ambalo halipo coast.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Sasa huku ulikuwa unabisha nini!
Unaposema lake zone unamaanisha Nini? Maana kigoma pia ipo kwa lake ,ungesema tu wewe ni mmojawapo wa wale wapiga ramli wa chato ungeeleweka mbona kitambo tu .

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Anatumia hio kauli ya lake zone eti ndio kwao atukanganye sisi ambayo sio wa huko ili asitambulike wakati yeye ni mmoja wa wale wapiga ramli wa chato.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Saa nyingine vitu kama hujui jaribu kufanya tafiti kwanza na sio kupenda kubishana ovyo vitu usivyo vielewa,

Ndio maana uliambiwa ukisikia Mtanzania anatoka kanda ya ziwa au kanda ya kati haraka unafahamu anatokea mikoa ipi.
 
Haha.! Kuna akina Magoha nawafahamu wapogoro wa Ifakara huko.
We unashangaa huyo kenya kuna professor anaitwa kambona (ss hayo kaam ona si ni watu wa songea ) ukiachana na huyo kuna huyo professor anaongoza taasisi yao ya utafiti kqma NIMR hapa bongo anajina la kombe ss kombe ni wachaga hao
 
Mwakani Kenya kutakua na watoto wengi sana waliozaliwa na watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…