Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Spending yote hiyo bado mna wanajeshi wale tuliowaona wakati wa shambulizi la supermarket wanaiba bidhaa. Shame on you guys hayo mambo ya kipuuzi huwezi kukuta kwenye jeshi la TanzaniaWe are spending 2.6bn$ on security equal to Ukraine
Tanzania kama mumesota msijicompare na Kenya mnatumia 367mn$ kwa JWTZ Hiyo ndio Kenya ime allocate kwa KWS pekee ama NIS .....Technically NIS ya Kenya pekee inaweza anza smear campaign I crush TZ bila kurusha kombora Just Propaganda war!
It happened 5yrs ago get over it ...Spending yote hiyo bado mna wanajeshi wale tuliowaona wakati wa shambulizi la supermarket wanaiba bidhaa. Shame on you guys hayo mambo ya kipuuzi huwezi kukuta kwenye jeshi la Tanzania
Kenyans will die of Hungerlet propose also Tanzania-Kenya security fence
Mkuu wakenya wenyewe wanabaguana wenyewe kwa wenyewe walishazoea ndio maana viongozi wa tz wanaenda nao kwa hesabu kali kwenye east africa communitySammuel999, hizi hesabu kubwa-kubwa zinakuchanganya sana, jiulize kama hizo hela zilitumika vizuri au ndio hizo zinajenga malls in Nairobi.
Halafu huwa najiuliza, hivi kuna siku waKenya mtajutia kujenga huu ukuta?
leo hii Somalia wanashida zao, kesho Somalia watamaliza shida zao na kujenga uchumi wao. Wakiwabana mtajiuliza kwanini wanafanya hivyo? Mama Amina ameulizwa kwanini unataka kuwa kiongozi wa AU huku unasema unataka Africa isiyo na mipaka, nchi yako ndio inajenga ukuta kuwafungia wasomali huoni kama hueleweki? Majibu hapo yalikuwa ni uh ...eh ....mm ...well...
Wakenya mnaogoma wasomali wataka kuja kuchua ardhi ya Garisa, Wajir, Mandera.
Ur avi has a kenyan flag in it so the banter doesnt hurt at all!!Kenyans will die of Hunger
Hiyo ya Garisa ilipotokea mlikuwa wapi, Mlilala?Just last week u saw Uhuru kenyatta Launch 2000 trucks for the police service 83 of them being APCS ama umesahau?
View attachment 464101
View attachment 464100
View attachment 464102
Toka Garissa attack Mumeskia attack ingine Ndani nchini ???
911 phone service inafanya sai 24/7- ukiingia kenya dial 999
Uonge juu ya terrorist uone response time ya ATPU
i think our money is working well
Just last week u saw Uhuru kenyatta Launch 2000 trucks for the police service 83 of them being APCS ama umesahau?
View attachment 464101
View attachment 464100
View attachment 464102
Toka Garissa attack Mumeskia attack ingine Ndani nchini ???
911 phone service inafanya sai 24/7- ukiingia kenya dial 999
Uonge juu ya terrorist uone response time ya ATPU
i think our money is working well
Sijui kama ulivyo yaandika yanakwenda na uzi unaosema ukuta wa Kenya Somalia Border. Ni vizuri mna upgrade polisi yenu, itawasaidia kuwalinda. Hata sisi, Kikwete aliwapa polisi vifaa kabla ya kuondoka, magari, cctv, vifaa vya mawasiliano, our 999 is up and running, non emergency 111 ipo na number za police commanders tumepewa wananchi.Just last week u saw Uhuru kenyatta Launch 2000 trucks for the police service 83 of them being APCS ama umesahau?
View attachment 464101
View attachment 464100
View attachment 464102
Toka Garissa attack Mumeskia attack ingine Ndani nchini ???
911 phone service inafanya sai 24/7- ukiingia kenya dial 999
Uonge juu ya terrorist uone response time ya ATPU
i think our money is working well
Wakenya wakati mwingine wanakuwa kama majuha kalulu.Hizo gari UK ameleta kwa ajili ya kuiba kura,atakaeleta fyoko atakumbana na washa washa hizo.Gari kama hizo haziwezi kumzuia suicide bomber.
Mnapoteza bure kujenga uzio wakati watu wapo tele ndani ya kenya haswa Eastleigh wanasoma tu ramani
let propose also Tanzania-Kenya security fence[kenya and tanzania will never ever put a wall between them,it will be a curse if any gorvernment tries it......]
A time will come when all insecurity in Kenya is a thing of the past!!
Iko wazi kabisa kuwa vote rigging imeshakuwa pre-planned,kama vile kubadili katiba kuhesabu kura kwa mikono,ili waweze kujaza kura za UK,na kununua hizo gari za kivita ni za kudhibiti wale watakaokasirika baada ya kugundua wameibiwa kura na UKHayo unayotoa wapi?? Yaani unavyofikiria akilini ndivyo unadhani kila mtu anafikiria! Mwenyewe **** Kalulu kabisa. Your assumption is not what we plan
What happened?? That are the wages of war, you can't do without!!KDF was attacked and claims are that 57 soldiers were killed. They need to be brought back to build the wall and leave the morons to go drying
Hollwood movieIs that a Rambo movie yore talking about??? Coz for what I know Kenyan can't afford to do so
The problem is not budget but corruption in ur army... Only 1/3 of that budget allocated got the actual use..We are spending 2.6bn$ on security equal to Ukraine
Tanzania kama mumesota msijicompare na Kenya mnatumia 367mn$ kwa JWTZ Hiyo ndio Kenya ime allocate kwa KWS pekee ama NIS .....Technically NIS ya Kenya pekee inaweza anza smear campaign I crush TZ bila kurusha kombora Just Propaganda war!