Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehee, huko wanalinda nn opIli jeshi kwa mapicha picha ni numero uno..
Jamaa ulipotelea wapi. Miaka nyingi. Welcome back.
Hapo ni boni forest along Kenya Somalia borderline.Hehee, huko wanalinda nn op
Wapelekeni TurkanaBadass.... Jamaa mpaka napata uwoga kwa walivyo, hongera sana wamefaulu pakubwa sana muda hatujaskia visa vya kigaidi, muhimu sana tuwe tunajua kuna hawa washakaji hukesha maporini ili tulale salama, mad respect.
Jamaa wanatumia landcruiser mkonge Kama ISIS tu au boko Haram au Al shababKenya wana ujinga mwinga sana, badala ya kutumia vyombo vya upelelezi kujua wahalifu walipo, mnatumia magari na wanajeshi walio na silaha kubwa kubwa kutishia wanawake wanaochemsha maharage majumbani kwao.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
mpaka US Army wanatumianga Kwani Hujui🏃🏃🏃🏃Jamaa wanatumia landcruiser mkonge Kama ISIS tu au boko Haram au Al shabab
Acha ufala us army wanatumia Jeepmpaka US Army wanatumianga Kwani Hujui[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
iwe landcruiser ama Jeep Bora inaperform the same thing,Zote zinaua Magaidi⚰️💉 Mbona unaumwa hivyo Sana na Jeshi la Kenya,kaliliye Jeshi lenu na huko🖕🤮Acha ufala us army wanatumia Jeep
Mean while Armoured vehicles zimepaki ikulu zinamsubiri Kanju.mpaka US Army wanatumianga Kwani Hujui🏃🏃🏃🏃
Fala msengeremaiwe landcruiser ama Jeep Bora inaperform the same thing,Zote zinaua Magaidi[emoji3545][emoji382] Mbona unaumwa hivyo Sana na Jeshi la Kenya,kaliliye Jeshi lenu na huko[emoji867][emoji2961]
Niko tu nlichoka kuzushiana na watu juu ya Uhuru na Raila hapa, coz politics 2017 ilikua soo muchJamaa ulipotelea wapi. Miaka nyingi. Welcome back.