Kenya: The least starving country in East Africa.

According to reliable sources.

Kenya is China's subordnate.

Also according to reliable sources.

Kenya's debt is somewhere near the sky.

Hivi matatu yameanza kufanya kazi? Maana mlikua mmedhamiria kutumia magari ya jeshi lenu adhimu. Sasa mimi nikawaza "Mnasumbuliwa mno na Al Shabab na mbona hamtumii kila resource mliyonayo badala yake hadi magari ya jeshi yako idle yakingoja matatu yagome?"
 
Stay on topic
 
Hahaha ongea lugha zingine mara ya mwisho mwisho soon lugha ya taifa ya Kunya inakua ya Kichina.

Is there a problem with that?? We are even having fully fledged Chinese lessons and examinable for that matter. Endeleeni kujifungia uswazi wa uswahilini
 
Na nyie mtaanza kukimbiza Albino Lini... Funza ni rahisi sana kudhibiti. Je ulaji wa watu wanaoishi na Albinism mtafanjaye??? Hadi mmetenga ukerewe Island ati wasifikiwe... Mashetani watu wajinga nyie
We na we bangi ni rahisi huko kwenu kiasi kila mtu anavuta. Kwahiyo akili yako inakwambia kuna eneo ukienda utakuta albino watupu wametengwa ili wasifikiwe?
Anyway, funza wakifika kwenye ubongo huchagiza magonjwa ya akili.
 
Mkuu tia mlo kwanza upunguze hasira kama vile walisema wahenga wa ulaya a hungry man is an angry man.
 
My nigga ninaishi nchi ambayo naweza nikaingia nyumba ya mtu yeyote nikaomba chakula nikagewa. Nataka kuona mluo akimuomba maji ya kunywa mkikuyu.
Mkuu tia mlo kwanza upunguze hasira kama vile walisema wahenga wa ulaya a hungry man is an angry man.
 
My nigga ninaishi nchi ambayo naweza nikaingia nyumba ya mtu yeyote nikaomba chakula nikagewa. Nataka kuona mluo akimuomba maji ya kunywa mkikuyu.
Sasa utaona kwa njia ipi ukiwa kitongoji duni cha Tandale tena njaa ikikukaba.
 
Sasa utaona kwa njia ipi ukiwa kitongoji duni cha Tandale tena njaa ikikukaba.
Wewe hata ukiwa ikulu uko na Uhuru ila ukishikwa na kiu kama ni kabila tofauti na yeye maji hupati labda mvua inyeshe ukinge mdomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…