Kenya Tujiangalie - Sauti Sol ft Nyashinski

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
The Video:


Lyrics:

[VERSE 1 : Sauti Sol]
Barua toka jaramogi na Kenyatta
Wanauliza kama Kenya kuko sawa
Nikawajibu Kenya tuko na disaster
Watoto wetu wanazidi kuzikana
Na tom mboya ameshika tama
Alituacha kama angali kijana
Je angekuwa mambo yangekua sawa?
Ndivyo Alivyopanga maulana
Deni mlizowacha bado tunalipa
Na tumekopa zingine china
Tukajenga reli pia barabara
Zilizobaki watu wakasanya

[CHORUS]
So Tujiangalie (Tujiangalie)
Tuko pabaya leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tuna jibizana
Tujiangalie (Tujiangalie)
Tuko pabaya leo kuliko jana
Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta
Tusake zetu tungali vijana

[VERSE 2 : Nyashinski]
Waumini kwa mathree
Na passie kwa bimmer
Kushoto fungu la kumi
Sadaka kulia
Ndio maana mbele ya kanisa mheshimiwa
Anakula sacramenti kabla ya raia
Oh!
Siku za mwisho zime shawadia
Na revelation inatuambia
Hii generation inachoma picha
Ni generation yetu Tujiangalie

[CHORUS]
Tujiangalie
Tuko pabaya leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tuna jibizana
Tujiangalie (Tujiangalie)
Tuko pabaya leo kuliko jana
Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta
Tusake zetu tungali vijana

[VERSE 3 : Sauti Sol]
Michuki alisema Tufungeni mikanda
Ona leo twavuna tulicho panda
Kura zetu zilitugawanya
Makabila na pesa pia tulimanga
So when you make your bed oh
(You lie on it ooh)
Usingizi gani tumelala
Tuta jua hatu jui
Vision 2030 itabaki ni story

[CHORUS]
Tujiangalie (Tujiangalie)
Tuko pabaya leo kuliko jana
Sikio la kufa halisikii dawa
Tuko kwa Twitter tuna jibizana
Tujiangalie (Tujiangalie)
Tuko pabaya leo kuliko jana
Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta
Tusake zetu tungali vijana
Tungali vijana

[VERSE 4 : Nyashinski]
Mdosi aliniambia
Freedom never comes for free
We vote tribe, ama real cash, ask Boni
Tuna Roho Mahali Hamwezi
Ita Gsu plus Doggy
World Mzima Twitter
Kot ndio first body
Burn picha si ni waafrika
Black coffee (Anan)
I’m richer than my neighbour but we both in the slum
If the rich always win
Why should the popular run?
Unless democracy ni word si usema only for fun


Tujiangalie (Tujiangalie)
Uh! Na hii weekend tuko church
Tunauza sura kabisa
Post ya haga huenda poa sana na
Caption ya scripture Kaa hiyo gospel
Pitisha bag ya sadaka kwa club yeah

Tujiangalie eh
Uh ! Traffic madrug ubuy ndai
Traffic mandai zinadrag
Ku admire mwizi amemake it
Story za shamba wamegrab
Mkono nahonga imevaa
Bracelet ya colors za flag
Yeah!
 
wIMBO HUU KWA MARA YA KWANZA NIMEUSIKILIZA NIKASEM KAMA UNGEIMBWA +255 UNGEFUNGIWA
 
Kwani huu wimbo umetolewa Leo?
Wakenya hata ikiwezekanabchukueni vioo mjiangalie vizuri sana nje na ndani LA sivyo sijui yatakayojiri.
I feel for the next generation.
Kuhusu madeni,God will provide
 
+255 ipo mahali Kenya ilikua 1990s. Siku hizo wanamziki walifungwa kwa kuimba nyimbo zilizoonekana kua anti-government.

Nay wa Mitego alinyea debe kwa kuimba huu wimbo, hebu skliza alvyokua anachana, japo hakumtaja mtu lakni kapigwa chini balaa.

 
Kwani huu wimbo umetolewa Leo?
Wakenya hata ikiwezekanabchukueni vioo mjiangalie vizuri sana nje na ndani LA sivyo sijui yatakayojiri.
I feel for the next generation.
Kuhusu madeni,God will provide
Anamaanisha mlivyo na Sura za Nyani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…