Iacheni kuisakama Kenya inatuwakilisha vizur Kwenye hiki kinyang'anyiloWakenya wanaakil Basi ndiomana Wana ingiliwa Uganda
hii nchi hata mimi naishangaa sana.Wako radhi Malaria iue watu 300,000 lakini sio 50 wafe kwa CORONA. Mkoloni asije akawaelewa vibaya.