Kenya tupeni masauti tuwape lavalava, na harmorapa.

Kenya tupeni masauti tuwape lavalava, na harmorapa.

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Hivi hakuna uwezekano wao wakenya tubadilishane watupe msanii wao masauti..
Sisi tuwape lavalava,hamisa,harmorapa,
Maana sioni wanachokiimba..

Huyu masauti ukimsikiliza anasound kama mbongo yaani ni bongo flava yetu kabisa ukiskliza ngoma zake kiboko,ipepete ,deka,burudani..
Unabaki kushangaa imekuwa kawa mkenya?

Sio hizi kenge zetu nilizozitaja hapo.
Mwenye kufikisha ujumbe afikishe huko 254 tufanye mabadilishano haraka..
 

Attachments

  • BEKABOY - MASAUTI - DEKA - (OFFICIAL VIDEO) FOR SKIZA TUNE SMS SKIZA 76384896 T.mp4
    11.8 MB
Acha roho ya chuki mzee baba Lavalava Ni msanii mzuri ana sauti nzuri alafu anajua kuandika mashairi kutomuelewa wewe haimanishi wengine hawamuelewi Me Binafsi Harmonize simuelewi kwenye upande wa kipaji sio vocalist kabisa lakini Hakuna mtu anaelalamika au kumshutumu vibaya Kama unavyofanya wewe
 
Acha roho ya chuki mzee baba Lavalava Ni msanii mzuri ana sauti nzuri alafu anajua kuandika mashairi kutomuelewa wewe haimanishi wengine hawamuelewi Me Binafsi Harmonize simuelewi kwenye upande wa kipaji sio vocalist kabisa lakini Hakuna mtu anaelalamika au kumshutumu vibaya Kama unavyofanya wewe
tena tuwaongezee na Linah sababu amechuja watupe masauti
 
Acha roho ya chuki mzee baba Lavalava Ni msanii mzuri ana sauti nzuri alafu anajua kuandika mashairi kutomuelewa wewe haimanishi wengine hawamuelewi Me Binafsi Harmonize simuelewi kwenye upande wa kipaji sio vocalist kabisa lakini Hakuna mtu anaelalamika au kumshutumu vibaya Kama unavyofanya wewe

IMG_20200830_020057.jpg
 
Kama vipi tuwape na whozu, ongeza na zuchu waende tu hatuna shida nao ..
 
Acha roho ya chuki mzee baba Lavalava Ni msanii mzuri ana sauti nzuri alafu anajua kuandika mashairi kutomuelewa wewe haimanishi wengine hawamuelewi Me Binafsi Harmonize simuelewi kwenye upande wa kipaji sio vocalist kabisa lakini Hakuna mtu anaelalamika au kumshutumu vibaya Kama unavyofanya wewe
Lavalava ni kati ya wasanii wachache wenye sauti nzuri na wanaojua sana sema aina ya mziki wake kwa mda mrefu ilikua haieleweki mpaka recently kaanza kubadilika kidogo
 
Back
Top Bottom