MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Yaani watu wamekua personal kiasi cha kiongozi bila kupepesa macho anakusanya umati wa watu na kushukuru Mungu kwamba Corona imempiga mtoto wa kiongozi wa upinzani. Halafu kiongozi mwenyewe kama RC ni mtawala (administrator) maana kwamba yeye hayupo kwenye wadhifa wa kisiasa, ni kiongozi wa wote mfano waziri, haipaswi akawa mbaguzi kihivyo.
Pia viongozi wa chama tawala akina Polepole wanafananisha upinzani na Corona.
Juzi imetolewa orodha ya mataifa ambayo raia wake hawana furaha kabisa, na Tanzania imewekwa miongoni mwa mataifa ambayo watu huchezea mabomu kwao kila siku, ilikua vigumu kumeza hiyo taarifa lakini kama siasa zao zimefikia huku, ni wazi kweli majirani zetu wameharibikiwa.
Kenya pamoja na tofauti zetu, tujiepushe sana kufika huko. Hii hapa video...
Pia viongozi wa chama tawala akina Polepole wanafananisha upinzani na Corona.
Juzi imetolewa orodha ya mataifa ambayo raia wake hawana furaha kabisa, na Tanzania imewekwa miongoni mwa mataifa ambayo watu huchezea mabomu kwao kila siku, ilikua vigumu kumeza hiyo taarifa lakini kama siasa zao zimefikia huku, ni wazi kweli majirani zetu wameharibikiwa.
Kenya pamoja na tofauti zetu, tujiepushe sana kufika huko. Hii hapa video...