Kenya -TZ pipeline cartoon

Huu ni ulafi wa kenya .wana mradi wa Reli toka mombasa mpaka uganda na bado wanasubiria bomba la mafuta to Sudan . kenyan mcwe walafi hivyo .mmetangaza mara kibao kilimanjaro ipo kenya bado mmetangaza Oldovai ipo kenya ?? This bush shit guys let share a bussness together haiwezekan kila kitu kwenu tu HACHEN ULAFI
 
unawajua leo, hawa .bwa kabisa
 
Walafi sana. Wameanza bila kunawa. Uhamiaji watembelee hoteli za watalii huku kanda ya kaskazini,wamejazana. Wafuate utaratibu wa kufanya kazi nchini.
 
Natamani siku moja watangaze na ccm iko kwao[emoji1] [emoji1] [emoji1] tuwapelekee faster pale namanga bila kuwadai ushuru.
 
Museveni amekuwa trained na kusoma tanzania,amesaidiwa na tz hadi kwenye nyanja nyingi sana,hii ni fadhila amerudisha,so my fellow kenyani ni bora mle mirungi uchumi ukue sie mtuache na bomba letu
 
Museveni amekuwa trained na kusoma tanzania,amesaidiwa na tz hadi kwenye nyanja nyingi sana,hii ni fadhila amerudisha,so my fellow kenyani ni bora mle mirungi uchumi ukue sie mtuache na bomba letu
😀😀😀 wakule miraa ndio maisha yao yasonge joo
 
😵Mkuu mbona unawajibu kwa kuwa-please sana as if sisi na wao tunabiashara ambayo ikifa tutakufa Njaa...!?? We've nothin’ to lose with nyang'auz conspiracies! SHawa watu ni wa kuchinjia baharini tu! Who are they...!?? We gotta a nuclear bombs hatuwezi fight with riffle of 1876(Kenyan) hao sio size wala level yetu! We are donors!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…