Kenya, Uganda kusheherekea Eid 21/04,

Kenya, Uganda kusheherekea Eid 21/04,

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Mabaraza ya Waislamu, Kenya na Uganda watangaza Eid kuanza kesho

Watanzania tukiwa wa kipekee sana tumeamua kuifanya kwe Jumamosi
 
Mabaraza ya Waislamu, Kenya na Uganda watangaza Eid kuanza kesho

Watanzania tukiwa wa kipekee sana tumeamua kuifanya kwe Jumamosi
Mbona huwa mnakuwa waongo hivi?
Kenya ipi kesho Ghidi?
Au Kama unalivosema Mabaraza?

Lete ushahidi Mufti wa Kenya katangaza kesho Eid.
 
Anaepanga tarehe za Pasaka na Idd ni nani hawa mbona Krismass Huwa hawaibadilishi kenge hawa.
 
Rwanda nayo yatangaza kesho ni Eid hivyo watu wasiende makazini
 
Pasaka ni Kristo alizaliwa. Ni haibadiliki

Pasaka/ Idd inaanzia kwenye mfungo, hicho kinasababisha vipishane.
We umekunywa nini usiku huu?
Pasaka sio kuzaliwa kwa Yesu bali Xmass na hii ni kutokana na dhehebu la Rumi
 
We umekunywa nini usiku huu?
Pasaka sio kuzaliwa kwa Yesu bali Xmass na hii ni kutokana na dhehebu la Rumi
Mtindi tu mkuu.
Typo bana. Ngoja niedit, dah 😂🏃‍♀️
 
Zuberi anaonea watu wivu.

Inakuwaje majirani wote kesho sikukuu, Tanzania na mdogo wake Zanzibar hadi kesho kutwa
 
Back
Top Bottom