Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huwa mnakuwa waongo hivi?Mabaraza ya Waislamu, Kenya na Uganda watangaza Eid kuanza kesho
Watanzania tukiwa wa kipekee sana tumeamua kuifanya kwe Jumamosi
mbona yuko fresh tu, mbona ansar wanaswali kesho sawa na uganda na kenyaNa mwaka jana Mufti alifanya hivyo hivyo,sijui ana roho gani huyu mzee.
Xmas ni Kristo alizaliwa. Ni haibadilikiAnaepanga tarehe za Pasaka na Idd ni nani hawa mbona Krismass Huwa hawaibadilishi kenge hawa.
Sasa Pasaka imeingiaje tena. Mpanga Idd ndiye msheherekea Idd.Anaepanga tarehe za Pasaka na Idd ni nani hawa mbona Krismass Huwa hawaibadilishi kenge hawa.
Mtindi tu mkuu.We umekunywa nini usiku huu?
Pasaka sio kuzaliwa kwa Yesu bali Xmass na hii ni kutokana na dhehebu la Rumi
karibu sana bro. tumeshalianza huku tayari. ni mwendo wa kujirusha tuKumbe ulikuwa hujastuka? Wengine leo tumechukua Uraia wa Kenya. Sicksheet fastaa...
Weraweraaa....karibu sana bro. tumeshalianza huku tayari. ni mwendo wa kujirusha tu
Kwahiyo Yesu anakufa na kufufuka tarehe mpya kila mwaka ?.Xmas ni Kristo alizaliwa. Ni haibadiliki
Pasaka/ Idd inaanzia kwenye mfungo, hicho kinasababisha vipishane.
Shida hazitulii sehemu MojaSasa Pasaka imeingiaje tena. Mpanga Idd ndiye msheherekea Idd.