Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Upinzani (NASA) unaoongozwa na Bwana Raila Odinga umepeleka masharti ya kushiriki marudio ya uchaguzi. NASA yataka marekebisho muhimu kufanyika kabla ya uchaguzi huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kazi ipo huko Kenya; hakuna kuaminiana kwa namna yoyote ile. Sasa IEBC waki-disclose kila kitu usalama wa mfumo na data zilizomo utatoka wapi? Kila kitu disclose hadi passwords! Wanachofanya NASA naona wameamua kuvuruga tu uchaguzi baada ya kuhisi wanaenda kupigwa tena; tena pigo baya zaidi.