Kenya uses new technology to nab poachers at night: WWF - Capital News

Kenya uses new technology to nab poachers at night: WWF - Capital News

Labda tu kuwe na interest lakini porcher hawawezi shindana na technology sababu porchers wengi ni uneducated, hata mbuga za tz wakiamua wafunge satellite kuminotor movement zote za porchers inawezekana ukionekana mbugani wwe ni porchers inatumwa drones uwe chakula cha fisi, porching itakoma,kuliko wamekalia matangazo ya kuzuia porching wakati porcher wengi hawaelewi,tukiacha maslahi technology inawezamaliza porching.
 
Namezitazama hizo video nakwambia hizo camera ni ajabu sana, zinauwezo wa kuonyesha poacher na ranger kwa rangi tofauti!! Technology safi sana
Such things ndio zinafaa ziekwe kwa mipaka sasa
 
Labda tu kuwe na interest lakini porcher hawawezi shindana na technology sababu porchers wengi ni uneducated, hata mbuga za tz wakiamua wafunge satellite kuminotor movement zote za porchers inawezekana ukionekana mbugani wwe ni porchers inatumwa drones uwe chakula cha fisi, porching itakoma,kuliko wamekalia matangazo ya kuzuia porching wakati porcher wengi hawaelewi,tukiacha maslahi technology inawezamaliza porching.
I second you.
 
I second you.
KWS officers at night with Night vision terminal devices in a landrover in a national park
1479977155731.jpg
 
Even more enhanced security systems are in the offing after the completion of Kenya Somalia Wall
 
Back
Top Bottom