KENYA: Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umefungwa

KENYA: Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umefungwa

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
e59b1e914d48dc6a9c0c5d01ee4c527e.jpg
625eb96aaca60fe84df2af3652f65e6e.jpg
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya umefungwa kwa muda ili kuwezesha zoezi la ndege la kijeshi kufanyika

Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways limesema safari 9 za ndege zimeathirika na zoezi hilo la Jumatano

Safari zilizoathirika ni pamoja na KQ 264/265, KQ 351, KQ 401,KQ 412, KQ 434, KQ 550, KQ654 /655

Zoezi hilo ni sehemu ya matayarisho ya maadhimisho ya sikukuu ya Jamhuri itakayoadhimishwa Jumatatu 12 Desemba.
 
Kwanini JKIN, jeshi hawana uwanja wao? Au ndio kuonyesha wale wasomali nini kinakuja?
 
Wewe bana vipi hapa ueleweki? Unauliza KDF ama JKIA ama nini?
Yani na wewe hukuelewa swali langu ?? Yani unashindwa to make up what i meant. Okay ngoja niuulize tena.....

Kwanini KDF wanatumia JKIA kutusha ndege zao, kwani wao KDF hawana uwanja wao ?? Au KDF wanataka kuonyesha wasomali mali zao?
 
JKIN ni wapi tena??? Ulimaanisha JNIA???
Naona umesahau hata uzi huu unasema nini, kichawa cha huu uzi kinajileza, ukiunganisha na lilicho andika utajuwa nina maanisha nini. Inabidi nikuulize kweli kweli, kama hii elimu yako sio ya kunga unga, hata jibu la swali langu sitolitapa sasa mpaka niseme JKIA.
 
Naona umesahau hata uzi huu unasema nini, kichawa cha huu uzi kinajileza, ukiunganisha na lilicho andika utajuwa nina maanisha nini. Inabidi nikuulize kweli kweli, kama hii elimu yako sio ya kunga unga, hata jibu la swali langu sitolitapa sasa mpaka niseme JKIA.

Heheee... lala vema... Hauna kipya.
 
Wewe mwana alshabab enhee?
Cc: DCI
Ana hamu nao labda.. maana thread imeeleza JKIA kufungwa kwa muda

Yeye anakuliza al-shabab, sijui wanatumia uwanja ule kuja Kenya
 
Back
Top Bottom