Sifa gani??Kenya Nao Wanapenda Sifa
Kwanini JKIN, jeshi hawana uwanja wao? Au ndio kuonyesha wale wasomali nini kinakuja?
Wewe bana vipi hapa ueleweki? Unauliza KDF ama JKIA ama nini?Kwanini JKIN, jeshi hawana uwanja wao? Au ndio kuonyesha wale wasomali nini kinakuja?
Al shabab mmemalizana nao?
Unajuwa unamaanisha nini, mwanaume haulizi mara mbili. JKIN JKIA yote sawa tuu.Eeeh
Unajuwa unamaanisha nini, mwanaume haulizi mara mbili. JKIN JKIA yote sawa tuu.
Yani na wewe hukuelewa swali langu ?? Yani unashindwa to make up what i meant. Okay ngoja niuulize tena.....Wewe bana vipi hapa ueleweki? Unauliza KDF ama JKIA ama nini?
Naona umesahau hata uzi huu unasema nini, kichawa cha huu uzi kinajileza, ukiunganisha na lilicho andika utajuwa nina maanisha nini. Inabidi nikuulize kweli kweli, kama hii elimu yako sio ya kunga unga, hata jibu la swali langu sitolitapa sasa mpaka niseme JKIA.JKIN ni wapi tena??? Ulimaanisha JNIA???
Naona umesahau hata uzi huu unasema nini, kichawa cha huu uzi kinajileza, ukiunganisha na lilicho andika utajuwa nina maanisha nini. Inabidi nikuulize kweli kweli, kama hii elimu yako sio ya kunga unga, hata jibu la swali langu sitolitapa sasa mpaka niseme JKIA.
Wewe mwana alshabab enhee?Al shabab mmemalizana nao?