Analogia Malenga JF-Expert Member Joined Feb 24, 2012 Posts 5,108 Reaction score 10,191 Aug 15, 2021 #1 Imeripotiwa katika makala za Russia Today(RT) kuwa vijana wa #Kenya wanaamini kutembea na aliyewazidi umri kunatibu UKIMWI Kwa kuwa sio wote wanaokubali kutembea nao, vijana huwabaka waliowazidi umri hasa wazee ambao wanakulikana kama 'Shushu' Wazee hao wameanza kujifunza kupigana ili kujilinda inapotokea wanakumbana na matukio ya ubakaji Your browser is not able to display this video.
Imeripotiwa katika makala za Russia Today(RT) kuwa vijana wa #Kenya wanaamini kutembea na aliyewazidi umri kunatibu UKIMWI Kwa kuwa sio wote wanaokubali kutembea nao, vijana huwabaka waliowazidi umri hasa wazee ambao wanakulikana kama 'Shushu' Wazee hao wameanza kujifunza kupigana ili kujilinda inapotokea wanakumbana na matukio ya ubakaji Your browser is not able to display this video.
Kachengcheng JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 1,551 Reaction score 979 Aug 15, 2021 #2 🤮Maajabu🤔
L Lekache Member Joined Feb 15, 2021 Posts 65 Reaction score 65 Aug 15, 2021 #3 Upumbavu wa hali ya juu
T The Don C Member Joined Aug 29, 2018 Posts 31 Reaction score 7 Aug 15, 2021 #4 Ile ujinga iko kenya
Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 8,118 Reaction score 13,547 Aug 15, 2021 #5 Africa haichekani sana kwenye haya mambo ya kijinga. Ajabu huwa ni hawa jamaa kujiona wao ndiyo wako very civilized kuliko wengine.
Africa haichekani sana kwenye haya mambo ya kijinga. Ajabu huwa ni hawa jamaa kujiona wao ndiyo wako very civilized kuliko wengine.