Africa usicheze na hizi nchi kwenye UtaniHaha utani wa ngumi kwa hiyo Tattoo inadunda kwenye mwili wa mkenya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Siku moja wanaigeria wake humu tuvurugane nao.Africa usicheze na hizi nchi kwenye Utani
1. Mozambique
2. Nigeria
3. Zambia
Hao watu ni noma[emoji23][emoji23]
Nikiwa na free time huwaga nafuatilia mpambano wa Mozambique na Malawi, unaweza ukacheka ukafa[emoji23] hawa watu hawapendani balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] Siku moja wanaigeria wake humu tuvurugane nao.
Nikiwa na free time huwaga nafuatilia mpambano wa Mozambique na Malawi, unaweza ukacheka ukafa[emoji23] hawa watu hawapendani balaa
Haha, wajibu hawajipendi[emoji23]Hahha kwenye hayo mabishano wakenya wamekaa kimya kama vile hawapo.
Wanigeria huwa na respect sana kwa Mtanzania.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Siku moja wanaigeria wake humu tuvurugane nao.
Wanajua nasi ni vichwa zaidi yao.Wanigeria huwa na respect sana kwa Mtanzania.
Mkuu hebu nitajie hilo chimbo huko Twitter nikajionee na mmNikiwa na free time huwaga nafuatilia mpambano wa Mozambique na Malawi, unaweza ukacheka ukafa[emoji23] hawa watu hawapendani balaa
Watanzania ni majiwe [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wanigeria huwa na respect sana kwa Mtanzania.
Unafuatiliaga wapi mkuu?Nikiwa na free time huwaga nafuatilia mpambano wa Mozambique na Malawi, unaweza ukacheka ukafa[emoji23] hawa watu hawapendani balaa
So you find it fit to selectively pick on the Nigerian trolls and avoid the Kenyan responses on the same?. Believe me, Nigerians huwa wanatutambua we always humiliate them just as they do. We take them on the same way they come.
kwa hivyo wewe mzungu sio? white man how are youNiggas so black they usually win in race coz other runners can't see them.
And we all know you can't beat what you can't see.