Kenya vs Tanzania kwa kifupi

vulcan

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,742
Reaction score
2,459
Kenya ni gari lenye shida kadha, over-heating, wheel alignment , saa zingine panctures .. lakini wenyewe wanajua kuna shida, na kila wakati wanajaribu kurekebisha..
Lakini
Tanzania ni baiskeli "ZEE", ambalo wenyewe wanadhania Ferrari ... tafakali hayo


 
They remind me so much of "Amezidi".

Ame: Hili ni pango! (trying to be realistic)
Zidi: La! Hili ni kasri. (This their typical thought process)

land of milk and honey.... communist style
 
Katikati ya Corona Kibera kukoje? Sehemu gani Tanzania 🇹🇿 waweza linganisha na Kibera?
Niko hapa Karen Bistro, Ngong Road kwa mapumziko, Tanzania is the best place to be
 
Katikati ya Corona Kibera kukoje? Sehemu gani Tanzania 🇹🇿 waweza linganisha na Kibera?
Niko hapa Karen Bistro, Ngong Road kwa mapumziko, Tanzania is the best place to be
Sehemu gani Tanzania waweza fananisha na Karen Bistro...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…