mcndomba maprosoo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 225
- 94
Salam ndugu zangu. Kabla ya mechi ya Kenya v Tz Afcon kule Egypt kulikuwa na debate Kali Sana humu ndani kila upande ukishabikia kwake. Na hata baada ya matokeo ya 3-2 bado mjadala uliendelea.
Lakini sikuona mjadala wa kabla na baada ya matokeo ya juzi kwenye kifuzu Chan baada ya Kenya kuchalazwa na Tz, ni kwamba mashindano haya hayakupewa kipaumbele au kwa vile iliingiliana na event ya team ya wananchi na bakuli kubwa kama hili?
Lakini sikuona mjadala wa kabla na baada ya matokeo ya juzi kwenye kifuzu Chan baada ya Kenya kuchalazwa na Tz, ni kwamba mashindano haya hayakupewa kipaumbele au kwa vile iliingiliana na event ya team ya wananchi na bakuli kubwa kama hili?