50% of Tanzanians live in slums according to World Bank.1.Tanzania is the most urbanised country in EAC - Yet you wount see any slums
New: Tanzania is the East Africa's most urbanised nation
2. 35% of all land in Tanzania is National parks
3. Yes, Agricultural output should be higher..But for a long time Tanzania lacked capital investors due to their land policy and rampant corruption. - NOW TZ IS MIC, JPM has killed corruption. Mistakes of the past wount be repeated
The accountantA doctor earning 500,000 KSH/month with a wife and 4 children (per capita income 83,000) vs a single accountant earning 100,000.
Who will have a better life?
Ulipotelea wapi? Bado uko marekani?A doctor earning 500,000 KSH/month with a wife and 4 children (per capita income 83,000) vs a single accountant earning 100,000.
Who will have a better life?
Kati ya Tanzania iliyo kubwa kuliko nchi zingine nne (za Kenya, Uganda, rwanda na Burundi ukizichanganya pamoja) ina ukubwa wa 945,087 km² na idadi ya watu (wanaokadiriwa) milioni 58, na Kenya (ukubwa wa 580,367 km²) ikiwa na watu milioni 47.56 ni nani wanazaliana kama panya? Tanzania ina population density ya 62 people per square kilometer wakati nchi ya Kenya (pamoja na kuficha data za ukweli kuhusu population yenu) ina 80 people per square kilometer. Hapa wanaofyatuana kama panya ni kina nani?A big population is not always a good thing. Watanzania kama wangewacha kufyatuana kama panya saa hii wangekuwa na Gdp per capita ya juu sana.