Wakenya bana, mnasikitisha.
Timu yenu inacheza lkn walioingia uwanjani ni theluthi tu ya watanzania walioingia kuisapoti Twiga stars inayotoa kipigo cha kufa mtu.
Mpira hauna hamasa, teknolojia butu, picha hafifu yaani hata siinjoi kabisa.
Njooni mjifunze kwetu