Kenya: Waandamanaji walivyoingia bungeni

Kenya: Waandamanaji walivyoingia bungeni

Yani natamani ningekuwa kwenye mazingira kama hayo. My lifetime wish/dream ni kupigwa shaba nakuonja ladha yake. Yani natamani sana. I just want to feel the taste of the lead and the room temperature challenge maamaee.

God fulfill this wish to me.
 
Yani natamani ningekuwa kwenye mazingira kama hayo. My lifetime wish/dream ni kupigwa shaba nakuonja ladha yake. Yani natamani sana. I just want to feel the taste of the lead and the room temperature challenge maamaee.

God fulfill this wish to me.
Nakuombea mwenyezi Mungu akuepushe na hilo ombi lako
 
Hawa ndio binadamu wanaojitambua kwa kweli, huku kwetu yamejaa mafisi na manyumbu
Ndio maana beberu alieendeleza sana hii nchi
 
Nimepata shauku ya kwenda Dodoma kufanya kama walivyofanya wakenya.tatizo Niko peke yangu.wtz wengi ni waoga
 
Back
Top Bottom