[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kenya napo Bashite ni wengi sana
Wangejua jinsi jina hilo lilivyo na gundu wasingelitumia kabisa. Ni sawa na uzae mtoto umuite Ibilisi
maana yake kuna watu kenya wanapenda ccm.Nchini Kenya wameamua kuanzisha chama chao cha siasa kiitwacho CCM-Kenya (Chama cha Mashinani-Kenya) ambacho kinaongozwa na Mh. Isaac Ruto.
Na kimejipanga kushiriki uchaguzi mkuu Wa Kenya mwana huu 2017.
Tupe maoni yako juu ya hiki chama cha CCM Kenya.
acha uongo. mbona ccm ndio imewadhibiti wezi.Ukiona neno ccm ujue ni genge la wezi,watekaji na mafisadi.
Uongo mtupu.umesoma kichwa cha thread,ukaingia ndani mpaka ukachangia na kuliandika kabisa jina hiyo siku haijaharibika tu?CCM ni kama maji,usipoyanywa utayakoga tu jiangalie usije kupata kiharusi kwa sababu ya chuki iliopitiliza,wenzio Lowassa na Sumaye bado wanazo kadi za CCM zipo chini ya mto,wanaamka wanazibusu wanaendelea kulalaNikisoma neno ccm huwa napoteza hamu ya kula na siku inaharibika
Umepima mkojo na kuangalia siku zako zipo?Nikisoma neno ccm huwa napoteza hamu ya kula na siku inaharibika
Usifikiri kwa nati moja, mimi sina chama na li ccm lenu silipendi, sijawahi kuwa na kadi ya chama chochote so usinilazimisheUongo mtupu.umesoma kichwa cha thread,ukaingia ndani mpaka ukachangia na kuliandika kabisa jina hiyo siku haijaharibika tu?CCM ni kama maji,usipoyanywa utayakoga tu jiangalie usije kupata kiharusi kwa sababu ya chuki iliopitiliza,wenzio Lowassa na Sumaye bado wanazo kadi za CCM zipo chini ya mto,wanaamka wanazibusu wanaendelea kulala
Nijulishe kwanza babako anazo siku zake?Umepima mkojo na kuangalia siku zako zipo?
Hata usipoipenda ndio chama tawala huna jinsi,nuna tuUsifikiri kwa nati moja, mimi sina chama na li ccm lenu silipendi, sijawahi kuwa na kadi ya chama chochote so usinilazimishe
una ujauzito wa miezi mingapi?
DuterteItakuwa unalipenda hilo neno mkuu. Jitahidi kutafuna mbegu za maboga zitakuongezea hamu.