Kama ni kweli. That is good news for them.
Hayo mafuta yatawafaidisha kama watatokomeza rushwa na ufisadi. Wakijitahidi hayo mambo mawili. Ninawapa miaka 3 tuu, kenya itakuwa zaidi ya South Africa.
Mkuu usilinganishe na Tanzania kabisaaa. Kama waziri wa madini ni "Malima mhuni" unategemea nini? Afu raisi wetu checkbob. Kila siku anaruka angani kama tiara.
Ebu niambie familia yenu inaongozwa na baba check-bob, what do you expect. Baba yeye kila siku yuko na washikaji tu, kwake hatulii. Baba ambaye hana ubunifu wa kujitengenezea kipato. Yeye anategemea misaada kutoka kwa "masela" hahhaa