Kenya: Walinzi wamuua Mwanafunzi wa kiume baada ya kumkuta bwenini kwa wanafunzi wa kike

Kenya: Walinzi wamuua Mwanafunzi wa kiume baada ya kumkuta bwenini kwa wanafunzi wa kike

Chaos Master

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2021
Posts
636
Reaction score
1,310
Walinzi watatu wa Shule ya upili ya Wasichana ya Komothai Nchini Kenya wamekamatwa kwa tuhuma za kumuua Mwanafunzi wa kiume wa Shule nyingine jirani ya Wavulana aliyekutwa kwenye Bweni la Wasichana la Shule hiyo saa kumi alfajiri wiki iliyopita.

Taarifa ya leo imesema Walinzi hao Joseph Mutahi, Kennedy Muriuki na Mary Achieng waliofikishwa Mahakamani mbele ya Hakimu Mkuu wa Githunguri Victor Asiyo hawakujibu mashtaka yao leo hii baada ya upande wa mashtaka kuomba muda wa siku 15 kuendelea kuwazuia uchunguzi ukiendelea.

Mahakama imeamuru Walinzi hao wazuiliwe kwa muda wa siku saba kuruhusu Polisi kukamilisha uchunguzi dhidi ya mauaji hayo ya Mwanafunzi huyo aitwae Brian Mbage ambaye atazikwa Jumatano hii.

CC: Millard Ayo
 
Wanafunzi wa jinsia moja huwa si vizuri kukaa muda mrefu bila jinsia nyingine. Shule mchanganyiko nzuri sana, kule tu kutazamana kimapenzi na jinsia tofauti ni tiba bora kisaikolijia akili na mihemko inatulia bila kuleta madhara
Kweli kabisa vithibitisho tunavyo sie tuliosoma boiz to man tulikua wahanga wakubwa wa kununua Malaya
 
Wangewacha mvulana huyu akule hao wasichana pole pole. Kwani tatizo liko wapi?
 
Makumbuka nikiwa form two ile tunasubilia national exam wanafunzi wengine walishafunga shule na kurudi nyumbani, masela tulikua tunachukuana usiku tunaenda dom la wasichana kila mtu anaingia kwenye room ya mtu wake mnagongana hadi alfajiri mnatoka mnarudi bwenini.

Siku moja tumeenda kama kawaida kuna demu mmoja mlikole kiranja yeye hakupata bwana wa kumgonga usiku ule akawa anasikilizia miguno ya wenzake asubuhi palipo kucha akaenda kushitaki kwa walimu kuwa wavulana wanakuja bwenini kwao usiku na kufanya matusi na wasichana.

Basi ikaitwa gwalide la utambulishi mademu wote wakapangwa pale mbele washakula fimbo za kutosha wanaambiwa taja ulilala na nani basi demu anataja jina lako na wewe unaenda pale mbele unakula fimbo za kutosha, kuna mademu walitaja hadi watu wa tano hadi walimu wenyewe wakapagawa, yeye anataja wote aliogongana nao, tulikua ns tabia demu ukimgonga leo ukija kesho unaenda room ingine kutafuna demu mpya, ukiwa na bahati mbaya unaweza kujikuta umetajwa na mademu hata kumi, I real miss those days, tuse kajo i miss you nasikia ukiolewaga bunju, ukiona comment hii njoo pm tukumbushie fimbo za dickson.
 
Walinzi wengine wakipewa hela na wanafunzi wanaficha siri
 
Shuleni na vyuoni wanafunzi hujifunza mambo mengi sana ambayo hayako rasmi kufundishwa kama mambo ya mapenzi na mengine yasiyopangwa
 
R.I.P Comrade. Ilaa mademu wa Komothai Girls wajue kwamba Mungu anawacheki tu. Sijui huwa wanawalisha nini hao wasichana humo shuleni. 😊 Enzi zetu walitutesa sanaaa, yaani toto la kidato cha pili tu likisonga vitu vinatetemeka. 😋 Sio mawetete, mawowowo hadi na mananasi.
 
Inamaana hawa walinzi hawa akili ya kutofautisha mwizi na mwanafunzi 🤔
 
Back
Top Bottom