Kenya: Waliowahi kufanya kazi Saudi Arabia wasema walikuwa watumwa

Kenya: Waliowahi kufanya kazi Saudi Arabia wasema walikuwa watumwa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Wasichana waliowahi kwenda kufanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia wakitokea Kenya wamesema wanakuwa watumwa na hunyimwa haki zao za msingi za binaadamu.

Imesemekana kwamba wanachokifahamu madalali na mawakala wa kutafuta watu wa kwenda kufanya kazi huwa wanakuwa wanawauza watu hao kwa kuwaambia kuwa wanaenda kuajiriwa kitu ambacho huwasababishia manyanyaso.

Watu hao ambao wamefanya mahojiano NTV Kenya katika kipindi cha Gumzo la Sato ambapo wameshauri wasichana wenzao wabaki Kenya na kufanya biashara kuliko kwenda kuwa watumwa Saudi Arabia.
 
Mtu apate nafasi ya kazi za ndani Riyadh kisa kawasikia hao watu kwa TV station?
 
Waarabu, Wahindi, Wahispania, Wajerumani, Waingereza, Waafrika kusini na Wamarekani weusi, ni wabaguzi wa rangi kuliko hata ushetani.

Nikibahatika kuingia mbinguni nikakutana na aina za hivyo viumbe lazima nikate rufaa kurudi duniani haki ya nani maana nitakuwa nimeingia choo cha kike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Juzi Miili 12 za Wakenya zimeletwa Kwa Ndege,walikuwa wafanyakazi Saudi Imagine,Saudi Ni Wanyama
 
Arabs na Shetani wamepishana kidogo kama sio zero! 🤬
Siwezi advice dadangu au dadake mtu aende Saudi au Middle East kama househelp, hell no! Bora utafute hela ukafanye kazi za office, ama hospitality yeyote ile. Ukiwa na kisomo/professional itakuwa added advantage pia. Lakini Househelp, hapana!
 
Waarabu, Wahindi, Wahispania, Wajerumani, Waingereza, Waafrika kusini na Wamarekani weusi, ni wabaguzi wa rangi kuliko hata ushetani.

Nikibahatika kuingia mbinguni nikakutana na aina za hivyo viumbe lazima nikate rufaa kurudi duniani haki ya nani maana nitakuwa nimeingia choo cha kike.
Na ujeuri unachangia sometimes

Wakenya ni jeuri sana ile kasumba ya kusema kila kitu chao huwenda iliwaboa wenyeji
 
Na ujeuri unachangia sometimes

Wakenya ni jeuri sana ile kasumba ya kusema kila kitu chao huwenda iliwaboa wenyeji
Bila kuwa jeuri kwa wafanyi kazi wa ndani ya nyumba kule Middle East basi utarudi mifupa mitupu kwenyu! Heshima ndio muhimu lakini usiwahi hata siku moja kuonyesha unyonge kwa mwarabu. Atakutumia vibaya hadi shetani akuhurumie aisee! 🤣
 
Wasichana waliowahi kwenda kufanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia wakitokea Kenya wamesema wanakuwa watumwa na hunyimwa haki zao za msingi za binaadamu.

Imesemekana kwamba wanachokifahamu madalali na mawakala wa kutafuta watu wa kwenda kufanya kazi huwa wanakuwa wanawauza watu hao kwa kuwaambia kuwa wanaenda kuajiriwa kitu ambacho huwasababishia manyanyaso.

Watu hao ambao wamefanya mahojiano NTV Kenya katika kipindi cha Gumzo la Sato ambapo wameshauri wasichana wenzao wabaki Kenya na kufanya biashara kuliko kwenda kuwa watumwa Saudi Arabia.
walikuwa hawazijui roho za waarabu? huwa nashangaa hata hapa tz kuna watu wanawahusudu. wana roho mbaya kinyama. kuna clip niliona mama wa kiarabu anamrusha housegirl wa africa toka gorofani, kuna mambo ya ajabu sana, wanabakwa wanalawitiwa n.k.
 
Back
Top Bottom