Kenyan-Tanzanian
JF-Expert Member
- Nov 7, 2006
- 302
- 2
MAONI YA WAAMERIKA KUHUSU USHINDI WA RAILA
Waheshimiwa Raila amekubalika na hata waMarekani wanajua Kibaki na mafisadi wake yao imekwisha....
http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2007/12/21/AR2007122102136.html?nav=hcmodule
HEBU CHEKINI HII PIA....
http://www.nytimes.com/2007/12/22/world/africa/22kenya.html?_r=1&oref=slogin
HALAFU MAALIZA NA HII VIDEO
http://video.on.nytimes.com/?fr_story=ecc3612525f26211e98d6958e621b4c200e63925
ADVAIZA WA BILL CLINTON WA MAREKANI AWASILI KUPANGA CAMPAIGN YA RAILA
http://www.youtube.com/watch?v=vyprn8P8FaU
Una maana Raila atakuwa puppet wa marekani?
Kuna Duru zinasema Marekani au Joji Kichaka kasupport sio kwa sababu anaipenda Kenya au kilichotokea bali anajua itakua na negative impact kwa Obama. Kwamba kama hata huko kwa baba yake hakuna demokrasia je yeye atakuaje na democracy.
wanasema fuatilia siasa ya marekani kwa sasa uone jinsi Obama atakavyopata criticisms kutokana na yaliyotokea Kenya. wait and see
Kuna Duru zinasema Marekani au Joji Kichaka kasupport sio kwa sababu anaipenda Kenya au kilichotokea bali anajua itakua na negative impact kwa Obama. Kwamba kama hata huko kwa baba yake hakuna demokrasia je yeye atakuaje na democracy.
wanasema fuatilia siasa ya marekani kwa sasa uone jinsi Obama atakavyopata criticisms kutokana na yaliyotokea Kenya. wait and see