Kwasasa Kenya kwenye Ndege wametuzid, wao wapo kwenye gemu muda mrefu japo uwa kunakipindi wanatangaza kupata hasara ila shirika lao linaendelea vizur. Sisi shirika la Ndege likitangaza hasara baadhi ya watu kwenye mitandao wanafikir ndio kiboko cha kuichapa serikali. Kwasasa Kenya wanatambua Tanzania chini ya JPM inawafuata kwa kasi katika maeneo mengi waliyo tuzid.Shirika letu la Ndege litafanya vizuri ni swala la muda tu.Sisi maneno mengi kuliko vitendo
Kamwe hatuwezi kuifikia Kenya hizo ni ndoto za alinachaKwasasa Kenya kwenye Ndege wametuzid, wao wapo kwenye gemu muda mrefu japo uwa kunakipindi wanatangaza kupata hasara ila shirika lao linaendelea vizur. Sisi shirika la Ndege likitangaza hasara baadhi ya watu kwenye mitandao wanafikir ndio kiboko cha kuichapa serikali. Kwasasa Kenya wanatambua Tanzania chini ya JPM inawafuata kwa kasi katika maeneo mengi waliyo tuzid.Shirika letu la Ndege litafanya vizuri ni swala la muda tu.
Mtaishia kuwasifia kina musiba na Hapi tuKwasasa Kenya kwenye Ndege wametuzid, wao wapo kwenye gemu muda mrefu japo uwa kunakipindi wanatangaza kupata hasara ila shirika lao linaendelea vizur. Sisi shirika la Ndege likitangaza hasara baadhi ya watu kwenye mitandao wanafikir ndio kiboko cha kuichapa serikali. Kwasasa Kenya wanatambua Tanzania chini ya JPM inawafuata kwa kasi katika maeneo mengi waliyo tuzid.Shirika letu la Ndege litafanya vizuri ni swala la muda tu.
Kama tunapata marais wenye Utashi wa kutaka kuitoa Tanzania hapa tulipo kama JPM, tunaweza kuwafikia na kuwazidi kenya. Kwanza ATC inatakiwa ianze kutamba hapa nyumbani na kwasasa tayari msuliwao unaonekana kama huamin waulize Fast Jet na Precition watakujibu.Kamwe hatuwezi kuifikia Kenya hizo ni ndoto za alinacha
Umenena vyema...yaani kwa issue ya maendeleo sisi na Kenya utofauti japo bado ni mkubwa lakini ukiangalia kwa umakini sana viashiria muhimu vya uchumi hatuna muda mrefu kula nao sahani mojaKwasasa Kenya kwenye Ndege wametuzid, wao wapo kwenye gemu muda mrefu japo uwa kunakipindi wanatangaza kupata hasara ila shirika lao linaendelea vizur. Sisi shirika la Ndege likitangaza hasara baadhi ya watu kwenye mitandao wanafikir ndio kiboko cha kuichapa serikali. Kwasasa Kenya wanatambua Tanzania chini ya JPM inawafuata kwa kasi katika maeneo mengi waliyo tuzid.Shirika letu la Ndege litafanya vizuri ni swala la muda tu.
Kama tunapata marais wenye Utashi wa kutaka kuitoa Tanzania hapa tulipo kama JPM, tunaweza kuwafikia na kuwazidi kenya. Kwanza ATC inatakiwa ianze kutamba hapa nyumbani na kwasasa tayari msuliwao unaonekana kama huamin waulize Fast Jet na Precition watakujibu.
Inachotakiwa waongeze juhudi apa ndani wakiweza kufika mikoa mingi zaidi ndio waongeze njia nje ya Tanzania najua kwasasa ATC wanakwenda Burundi na Commoro najua wanavuta kasi.
Hilo fisadi n jizi halijui loloteKama tunapata marais wenye Utashi wa kutaka kuitoa Tanzania hapa tulipo kama JPM, tunaweza kuwafikia na kuwazidi kenya. Kwanza ATC inatakiwa ianze kutamba hapa nyumbani na kwasasa tayari msuliwao unaonekana kama huamin waulize Fast Jet na Precition watakujibu.
Inachotakiwa waongeze juhudi apa ndani wakiweza kufika mikoa mingi zaidi ndio waongeze njia nje ya Tanzania najua kwasasa ATC wanakwenda Burundi na Commoro najua wanavuta kasi.
Umenena vyema...yaani kwa issue ya maendeleo sisi na Kenya utofauti japo bado ni mkubwa lakini ukiangalia kwa umakini sana viashiria muhimu vya uchumi hatuna muda mrefu kula nao sahani moja
Haina shida ili mradi abiria wapo, a Ata Chato nisehemu ya Tanzania na wanalipa kodi.Soon bombardier itakuwa inafanya direct to Chato international airport kutoka JKN kila siku.