Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
i feel your pain.Mkenya anaependa kuwa mtz...!!
Kwanini hiyo KQ unadhani ilitengenezewa Kirinyaga?Sisi tulianza mapema maana dege letu lilianzia safari huko State kuja Bongo. Hamkumbuki?
Kweli kabisa Mkuu.Kenya wanatuzi kila nyanja ya kimaendeleo na hata kisiasa
So how would you explain why the tremendous growth of the Chinese economy in just a few yrsKweli kabisa Mkuu.
Hii ni kwasababu hakuna uminywaji wa Demokrasia Kenya..
Demokrasia ikishahakuwepo mahali popote..MAENDELEO lazima yatapatikana tu..
Tanzania kwa sasa ni ni mwendo wa Kutekana na Kupiga risasi wapinzani.
Swali la kujiuliza ni kwa kasi gani tumepiga hatua kutoka tulipokuwa hadi sasa, "rate of change".Ndege moja kelele kibao.Ethiopia wanazo kibao wala husikii kelele.
Sasa hao watalii watafikaje sehemu za kutalii kwa haraka kama hakuna ndege?Watalii wameongezeka si kwa kigezo cha kuwa na ndege watalii wameongezeka kutokana na promo imekuwa mzuri
Ndiyo, kwa kuwa hatuna "mjomba" wa kutusafirishia watalii.Kwani lazima watumie zenu?
Kweli kabisa Mkuu.
Hii ni kwasababu hakuna uminywaji wa Demokrasia Kenya..
Demokrasia ikishahakuwepo mahali popote..MAENDELEO lazima yatapatikana tu..
Tanzania kwa sasa ni ni mwendo wa Kutekana na Kupiga risasi wapinzani.
kwahiyo kwa mtazamo wako wakenya hawauwani kisiasa na wanasiasa wao wako huru kufanya chochote wanachotaka mtani? Hii ni nchi iliyotoa rais aliyekuwa madarakani kushitakiwa kwa mauwaji ya halaiki kwenye mahakama ya kimataifa huku mashahidi wakipotea usiku na mchana kuficha ukweli.
Polepole ndio mwendo. Mtafika tuPichani rais Uhuru wa Kenya akishuhudia safari ya kwanza ya ndege yao kuubwa ya Kenya Air ways ikianza safari za moja kwa moja kwenda Marekani.nauliza tu sisi mbona kimya sana?au dege la kwetu haliwezi kufika Marekani?nashauri tusikubali kupitwa na Kenya.View attachment 914668View attachment 914669
Acha kukata tamaa. Kwani utapanga kubaki kama ulivyoKamwe hatuwezi kuifikia Kenya hizo ni ndoto za alinacha
Kumbe kipimo kiwe pesa iliyotengenezwa/ business sio kutua usa?Kwanini hiyo KQ unadhani ilitengenezewa Kirinyaga?
Asante sana!