Hata asipopigiwa si atapita tu make mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kijakazi wakeKura za Ndio kwa Magufuli
Always Magufuli huwa ni champion....Mwache Kenyatta akaze fuvu
Kuna watu wanajipigia pesa kwa huu ugonjwa
Et wanafanya vipimo
Pesa nyingi zimetengwa kisa kufanya vipimo ambavyo havina uhalisia
Magu kashituka mapema
Time will tell
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaona noma....Kuna wale wazee wa "Lockdown" uzi hawautaki huu.
Yaani hii inaitwa utajua hujui. Kihere here chote cha 'Curfew' sijui lockdown wanakwenda angukia pua. Wazungu nyoko Sana Ila Safari hii wamekutana baharia na mkuu wa beach boy [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanajifanya hawauoni uzi huu, kazi yao kutucheka sie ili wajione bora na uchovu wao wa kila aina. Mambo mengi yanatokea Kenya wala sie hatucheki wala kujishughulisha nayo, tunaangalia tu hata kuwaonea huruma na huruma zetu za asili, na utu wetu wa asili ambao hawana.
Umeona vurugu mitaani Nairobi dhidi ya lockdown?
Nikiangalia jinsi gazeti la the sun walivyoandika. Ni dhahiri Sasa hivi wazungu wanamuiga Magufuli kiaina.His name is Jiwe,the man himself...ccm members call him "bulldozer"
That's the only way you can define him
Dondosha picha kujazia nyama kwenye Uzi.Wanajifanya hawauoni uzi huu, kazi yao kutucheka sie ili wajione bora na uchovu wao wa kila aina. Mambo mengi yanatokea Kenya wala sie hatucheki wala kujishughulisha nayo, tunaangalia tu hata kuwaonea huruma na huruma zetu za asili, na utu wetu wa asili ambao hawana.
Umeona vurugu mitaani Nairobi dhidi ya lockdown?
Yaani nimecheka Sana kwa comment yako..Ila Corona ukiiendekeza sana inakuongezea tu hofu ya kuishi. Yaani unajikuta ukiumwa tu kichwa, kifua au kupatwa na mafua! unahisi tayari umeshaipata.
Mbaya zaidi tulitishwa ya kwamba inaua!! Virus vya kipuuzi sana hivi. Uenezaji wake wenyewe tu, umejaa utata.