Kenya: Wanawake wawili wafariki baada ya mkanyagano wakati wa kupokea chakula cha msaada

Uchaguzi uliopita Hapo Kenya more than 100 innocent Kenyans were Killed, and the 2007 I will never wish to mention
And 2022 pia mtaenda kuchinjana tena as usual, Halafu mpumbavu mmoja anasema mmeelimika, intact Kenya is so primitive.
Haya vitendo hutokea kila mahali, police brutality hufanyika kila mahali duniani. Unanini chengine cha kusema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa foleni hiyo watu wamebanana na hakuna cha kuvaa mask usalama wa afya zao ni mdogo sana.
 
Maombi yako ni Kenya ianguke lakini utangoja sana Jambo Kama Hilo litimie...wacha uvivu Bro Jenga Nchi yako.
 
Hili la kingereza linakuuma Sana? Utatumia lugha gani kuwasiliana na Wafrika wenzako ama itakubidi uandamane na mkalimani? Hii ndio dalili ya elimu duni.
 
limeni kwa wingi. soko liko na pesa pia ipo.
Soko litatoka wapi mkuu 'Lewis254' huku soko kuu tunalotegemea mmekwishatangaza kujitosheleza kwa chakula (food security) ikiwa ni sehemu mhimu ya sera ya Mh Uhuru Kenyata ya 'Big Four.'!

Kama hii sio kutuhadaa tuache nasi kutia bidii ya kuanzisha viwanda ili tushindane vizuri na nyinyi katika kuuza bidhaa zilizotengenezwa viwandani?
 
Na hapo wamefunga mipaka tu na kuzuia raia kutembea usiku,je ikiwa full lockdown hali itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…