dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Mkuu drogingcoco,
Sa nyingine inabidi kueleza ukweli wote, bei za mafuta Kenya hata wakitoa hiyo 30% unayosema ziko juu ya zile za EWURA, wao hawana kitu kama EWURA, jaribu kuweka data ili hoja iwe na mshiko.
Hizi comparisons za juu juu zitakufanya ujione mnyonge kila siku.