Kenya wapitisha muswada wa kulipa watumishi sekta binafsi

Kenya wapitisha muswada wa kulipa watumishi sekta binafsi

Tanzania kuna la kuiga hapa
Walimu wa shule binafsi na vyuo binafsi watakuwa mstari wa mbele kabisa
 
Muswada umepita kwenye bunge la kenya wafanyakazi wote wa sekta binafsi watakao athirika na janga hili kwa kutokuwa kazini wanaruhusiwa kuchukuwa sehemu ya peshion zao kutoka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ili ziwasaidie wakati huu ambao hawalipwi mishahara kutokana na CORONA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata bunge la Tanzania leo limejadili hoja ya serikali kulipa mishahara ya shule za binafsi na huenda kesho ikapitishwa.

CCM hoyeeee!
 
Natamani ikilazimu watumishi wa sector binafsi walipwe mishahara na serikali kwa kuzingatia niwalipa kodi .. Nasio kupunguzwa kwenye peshen
 
Tanzania kuna la kuiga hapa
Walimu wa shule binafsi na vyuo binafsi watakuwa mstari wa mbele kabisa

Hiyo mifuko ya hifadhi ya jamii ipo tu kwa majina, kifupi imesha firisika kitambo....
Wanaonufaika Ni wanasiasa na vibaraka wachache wanaotafuna pensheni za watu zaidi ya mchwa...
 
Hiyo mifuko ya hifadhi ya jamii ipo tu kwa majina, kifupi imesha firisika kitambo....
Wanaonufaika Ni wanasiasa na vibaraka wachache wanaotafuna pensheni za watu zaidi ya mchwa...

Hakika mkuu,jamaa wana mbwembwe nyingi wkt mfuko hauna kitu aiseee.

Lkn hua hawana aibu kujitapa,tuna mapesa mengi sana.
 
Back
Top Bottom