joto la jiwe JF-Expert Member Joined Sep 4, 2017 Posts 26,117 Reaction score 46,617 Jun 28, 2020 #1 MY TAKE; Hii sasa ni zaidi ya laana, kijiji kimoja wasichana 20?.
harder king JF-Expert Member Joined Jan 21, 2017 Posts 3,970 Reaction score 6,907 Jun 28, 2020 #2 Mkuu we unaongelea ya kenya? Shule zinafunguliwa kesho nenda kapate takwimu za wasichana ambao hawajaenda shule wapo nyumban wanalea mimba! Ishu ya mimba kipindi cha korona ni mtikisiko mwingine mashuleni.
Mkuu we unaongelea ya kenya? Shule zinafunguliwa kesho nenda kapate takwimu za wasichana ambao hawajaenda shule wapo nyumban wanalea mimba! Ishu ya mimba kipindi cha korona ni mtikisiko mwingine mashuleni.
babayao255 JF-Expert Member Joined Apr 4, 2019 Posts 11,632 Reaction score 29,912 Jun 28, 2020 #3 Soma hili jedwali.
joto la jiwe JF-Expert Member Joined Sep 4, 2017 Posts 26,117 Reaction score 46,617 Jun 28, 2020 Thread starter #4 harder king said: Mkuu we unaongelea ya kenya? Shule zinafunguliwa kesho nenda kapate takwimu za wasichana ambao hawajaenda shule wapo nyumban wanalea mimba! Ishu ya mimba kipindi cha korona ni mtikisiko mwingine mashuleni. Click to expand... Kaka ulisoma ,"Literature " kweli?, main subject ya huu uzi ni mimba au wasichana 20 toka kijiji kimoja kupata mimba?
harder king said: Mkuu we unaongelea ya kenya? Shule zinafunguliwa kesho nenda kapate takwimu za wasichana ambao hawajaenda shule wapo nyumban wanalea mimba! Ishu ya mimba kipindi cha korona ni mtikisiko mwingine mashuleni. Click to expand... Kaka ulisoma ,"Literature " kweli?, main subject ya huu uzi ni mimba au wasichana 20 toka kijiji kimoja kupata mimba?
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 54,762 Reaction score 59,204 Jul 10, 2020 #5 Hi ni hatari.wakenya wanapenda sana ku kwich kwihmch