Mid income hawana udhibiti mwendo kama Tz? Ajabu.Daaaa! poleni sana, ila serikali ya Kenya nayo sasa idhibiti mwendo kama tz, mwisho speed ya juu iwe 80km/h
No, sio mapenzi ya Mungu. Ni uzembe wa wanadamuMwaka unaisha vibaya kwa wanafamilia, lakini ndio mapenzi ya Mungu. RIP
Unaweza kuwa sahihi, lakini unapo poteza ndugu yako unatafuta maneno ya faraja. Na mara nyingi ni kuridhika na kazi ya Mungu.No, sio mapenzi ya Mungu. Ni uzembe wa wanadamu
What is the cabinet secretary of transport still doing in office. 300 people have died so far in December. This is totally unacceptable. But that will not happen, because this is KenyaTakribani watu 30 wamefariki dunia na wengine 17 wamejeruhiwa baada ya basi kugongana na Lori katika eneo la Migaa njia Kuu ya Nakuru kuelekea Eldoret
Mpaka sasa miili 28 imetolewa kwenye basi na juhudi za kutafuta miili mingine linaendelea.
=======
At least 30 people have been confirmed dead after a Nairobi-bound bus collided with a truck at Migaa along the Nakuru-Eldoret highway.
Among the dead include the driver of the truck and his loader while 28 bodies were retrieved from the ill-fated bus.
The truck was heading to Eldoret.
Seventeen other people were seriously injured in the crash which occurred at around 3.30am Sunday.