Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
jamaa inawezekana kuwa hakukuelewa ama hafaham fika maana ya neno futariMbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.
Mbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.
Hahaha! Ati.watanzania wanajua Kiswahili?Umefutari=umefurahi
Kitenzi cha nomino futari ni futuru, kula futari = kufuturu.
Hahaha! Ati.watanzania wanajua Kiswahili?
Haujui maana ya neno kufutari?
Heri basi ukome kusahihisha Kiswahili cha wengine humu, ujitathmini wewe kwanza. Duh!
Jeshi letu liko imara sana, na inapambana nao vilivyo huko Somalia, hivi kuwasambaratisha kabisa maghaidi hawa.Sifurahii watu kufa
Ila kama ungelikuwa humu jf muda kidogo unge elewa,
Tumekuwa tukiwaeleza wakenya
Hawa watu hawana chakupoteza
Hawa ni habari nyingine kabisa
Mjiulize kwanini Marekani alikimbia Somalia!?
Mnapaswa kulinda mipaka yenu
Na mkubari Mna jeshi la hovyo.
Kojoa ulale broHahaha! Ati.watanzania wanajua Kiswahili?
Haujui maana ya neno kufutari?
Heri basi ukome kusahihisha Kiswahili cha wengine humu, ujitathmini wewe kwanza. Duh!
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Kitenzi cha nomino futari ni futuru, kula futari = kufuturu.
Kufutari ndio nini ? Zeeka vizuri basiMbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.
Lol!Kojoa ulale bro
Somalia wana ideologists za ISIS, kuexpand Islamic lands. So hata majeshi ya Kenya yakitoka Somalia, bado wataattack Kenya. They want to extend their boundaries. Unakumbuka before Kenya waende Somalia, they used to enter Kenya and attack people here, at one time wali kidnap watu. So Kenya ikitoka Somalia, ita harass Kenyans zaidiHayo niyako
Lakini huko mie siko
Nacho kizungumzia ni kile kinacho onekana
Imalisheni ulizi wenu kwanza,
Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi
yaani ndio swali ambalo najiuliza kila uchao...ni nani anawafadhili hawa al shabaab? hivi hizi mabomu za kisasa wanazotumia wanazitoa wapi? kulikuwa na fununu hivi majuzi kuwa ni serikali ya Qatar ila hilo halijathibitishwa..ktk swala la dini, sijui tulaumu Islam ama kwasababu magaidi wana imani za kijinga kwel kwel...hivi, ni ukweli kuwa ukiwauwa wakristo ama kafiri utawekwa pema peponi? pengine waislamu waje wanithibitishie hili...pia, nimeskia kuwa al shabaab nia yao ni kubatilisha uongozi wa serikali ya Somalia inayosapotiwa na wamarekani ndio wawe na sheria mpya za utawala almaarufu 'Shariah law'...hilo tu ndio ninalolijua..
We're in the same boat, hata TZ kuna hawa jamaa hapa Kibiti wanageuka kuwa kero sasa... Ninahofia wasije kuwa new boko harram...ooooh nimekuelewa sasa....kumbe ni hili jambo la Kenya vs TZ...haya nimekubali...wanajeshi wetu ni hovyo...I assume sasa utasema TZ forces are stronger...right?
Heheheheh! Msamehe bure, sio kila Mtz anajua Kiswahili (maana ya kufutari)...Mbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kufutari ndio nini ? Zeeka vizuri basi
Namuelewa dada huyo aganza. Yeye mkristo, pengine haya mambo ya kiislamu hayaelewi, hayajui.Heheheheh! Msamehe bure, sio kila Mtz anajua Kiswahili (maana ya kufutari)...
kuhamisha raia ni dalili ya kushindwa mkuu,vipi kama wakivamia Nairobi,bado raia watahamishwa?,cha msingi ni kuongeza ulinzi na kuwafagilia mbali hao magaidipole kwa familia zao....dah! naona wakenya wa kawaida wahamishwe kule wabaki wanajeshi pekee yake....hawa jamaa sioni kama watawahi kuisha..ni bora serikali iwahamishe raia...ila nimeshangazwa.....MOTOCHINI kafurahi watu wakifa...
Linda mipaka yakoSomalia wana ideologists za ISIS, kuexpand Islamic lands. So hata majeshi ya Kenya yakitoka Somalia, bado wataattack Kenya. They want to extend their boundaries. Unakumbuka before Kenya waende Somalia, they used to enter Kenya and attack people here, at one time wali kidnap watu. So Kenya ikitoka Somalia, ita harass Kenyans zaidi