johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Fedha wa Kenya amenusurika kupigwa na Mmachinga ( juakali) mara Baada ya kumaliza kusoma Bajeti na Kutoka nje ya Bunge kupiga picha na Wasaidizi wake
Police walifanikiwa kumkamata kijana huyo kabla hajamfikia Waziri
Source: Citizen TV
Kenya Hakunaga Yanga, Mlale Unono ๐
Police walifanikiwa kumkamata kijana huyo kabla hajamfikia Waziri
Source: Citizen TV
Kenya Hakunaga Yanga, Mlale Unono ๐