johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
πππ Majirani zetu wamechangamka , majuzi kati kuna mtu alining'inia kwenye hellicopter ya kiongozi , leo tena kuna mtu alitaka kupora begi la bajetiWaziri wa Fedha wa Kenya amenusurika kupigwa na Mmachinga ( juakali) mara Baada ya kumaliza kusoma Bajeti na Kutoka nje ya Bunge kupiga picha na Wasaidizi wake
Police walifanikiwa kumkamata kijana huyo kabla hajamfikia Waziri
Source: Citizen TV
Kenya Hakunaga Yanga, Mlale Unono π
Jamaa wanajitambua sana sana yaani πππππ Majirani zetu wamechangamka , majuzi kati kuna mtu alining'inia kwenye hellicopter ya kiongozi , leo tena kuna mtu alitaka kupora begi la bajeti
Ulale Unono ππHii heading imekaa kikuda sana
Nalalaje unono na bajeti hii..Ulale Unono ππ
Sio sisi huku sijui nidhamu ya uoga alitujengea naniJamaa wanajitambua sana sana yaani ππ
mwengeSio sisi huku sijui nidhamu ya uoga alitujengea nani
Mwalim JKN.Sio sisi huku sijui nidhamu ya uoga alitujengea nani
Tunatakiwa tuchangamke na sisiMwalim JKN.
Kenya hawana mchezo wa kipumbavu kama Tanzania!Waziri wa Fedha wa Kenya amenusurika kupigwa na Mmachinga ( juakali) mara Baada ya kumaliza kusoma Bajeti na Kutoka nje ya Bunge kupiga picha na Wasaidizi wake
Police walifanikiwa kumkamata kijana huyo kabla hajamfikia Waziri
Source: Citizen TV
Kenya Hakunaga Yanga, Mlale Unono π
JKN alikuwa na mambo ya hovyo sana!Mwalim JKN.
Hapo tu navyomsifia ny'ang'au! Harembi rembi kama sisiππ π€£πΉπππWaziri wa Fedha wa Kenya amenusurika kupigwa na Mmachinga ( juakali) mara Baada ya kumaliza kusoma Bajeti na Kutoka nje ya Bunge kupiga picha na Wasaidizi wake
Police walifanikiwa kumkamata kijana huyo kabla hajamfikia Waziri
Source: Citizen TV
Kenya Hakunaga Yanga, Mlale Unono π
Analeta masihara mbele ya wachumia juani!Waziri wa Fedha wa Kenya amenusurika kupigwa na Mmachinga ( juakali) mara Baada ya kumaliza kusoma Bajeti na Kutoka nje ya Bunge kupiga picha na Wasaidizi wake
Police walifanikiwa kumkamata kijana huyo kabla hajamfikia Waziri
Source: Citizen TV
Kenya Hakunaga Yanga, Mlale Unono π
Hatuna uwezo huo, mama kaupiga mwingi.Kumbe ni Kenya. Nilitaka niongeze mvinyo hapa nikidhani ni kanda ya kati Dodoma