Duh! Ukilinganisha na ile inayojengwa na Nairobi County, inakaa kama Jua kali, hio ya kagame sasa ndo inaitwa stadium!
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..
Anyways Dandora Stadium
Iko karibu kukamilika
Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too
Ni nzuri kuliko dare salaam stadiumDuh! Ukilinganisha na ile inayojengwa na Nairobi County, inakaa kama Jua kali, hio ya kagame sasa ndo inaitwa stadium!
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..
Anyways Dandora Stadium
Iko karibu kukamilika
Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too
Hao majirani zenu ambao walimtukana ni majirani wenu gani, na walimtukana kwa sababu zipi?!Kagame ni kiongozi mwenye maono ya mbali sana, japo kuna kipindi majirani zetu walimtukana sana na kujenga uadui naye,
Kwenye viwanja mnasuasua sana huo haufikii hata uwanja wa AzamNi nzuri kuliko dare salaam stadium
Hao majirani zenu ambao walimtukana ni majirani wenu gani, na walimtukana kwa sababu zipi?!
Nyinyi mnajaza tu football,Juzi hukuona Yanga Vs Kariobangi na Simba Vs Power dynamos uwanja ulivyo jaa! Au angalia week end hii Simba Vs Ud Songo. Tatizo AFC haiko vizuri kama zamani na Gor ilipotea kwa kipindi kirefu kwa hiyo kuna kizazi hakija ambukizwa ushabiki wa hizo timu zenu mbili zenye ushindani wa jadi. Kuna kipindi Gor na AFC zilikua kama hazipo kwenye ramani ya soka Kenya, ilikua ni Tusker, Mathare utd, Sofapaka, Oserian e.t.c.
Nyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football
Naona umeamua kuhamisha goal postsNyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football
Hakuna players wa maana Kwa local leagues za Africa,. Ni umaskini tu bado.Unataka Kufananisha football na Vitu vya Kipumbavu?
Halafu usisahau all your best players hapo Kenya premier League dream to play in Tz.
You say what? Maliza sentensi ama ukae kimya. "Aisee" ndio uporo wa juzi au nini? Wewe na ule mwengine wa kupumua "Mhh" mnaudhi. Na ule wazimu mwengine, kazi ni "cc Mahondaw" . Sijui Mahondaw ndio mhongo gani?
povu zilikua zinawatoka, mapovu yalikuwa yanawatoka. tuusan njoo tukufundishe kiswahili cha Kenya ππWenyewe wanajua walitukanana kwa ajili ya nini, ila nakumbuka povu zilikua zinawatoka, kuna siku huyo Kagame hadi alijikuta anasema atamhit mtu, duh, yaani nusra magobole yatumike.
Lakini kwa sasa naona wametulizana wote.....
Lol.. Hatari sana πYou say what? Maliza sentensi ama ukae kimya. "Aisee" ndio uporo wa juzi au nini? Wewe na ule mwengine wa kupumua "Mhh" mnaudhi. Na ule wazimu mwengine, kazi ni "cc Mahondaw" . Sijui Mahondaw ndio mhongo gani?
Nyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football