tony ukisikia kitu inaitwa mungu si athumani ndiyo hii .....Mara pa Gari majini mama na mtoto ndaniUkiangalia ripoti wanasema terrorist attack tuko ready kupambana nayo na ni kweli. Tuna experience ya kupasua vichwa vya Shabab na ndio maana hawaji Nairobi sana kama zamani. Nchi chache Afrika zina experience kama ya Kenya ya kupasua vichwa vya terrorists.
Hii ripoti inahusu nchi ambazo zina uwezo wa kupambana na majanga. Wamesema Kenya ni ya tatu Afrika, sijui shida yako ni gani? Ni kwamba hukubaliani na waandishi wa ripoti au ni chuki yako kwa Kenya imekuzuia kuikubali ripoti?
Hizo takataka mnazilisha bure hakuna jeshi hapo kdf ni mbwa koko a abweka tu ang'atiMpaka wanadada wamejitoleaView attachment 1206973