Kwa jinsi ninavyoona, watanzania wengi walioko Kenya wanafanya kazi ktk sekta isiyo rasmi na hivyo wanalipwa malipo kiduchu sana..Wakati kwa wakenya, wengi wako kweli sekta rasmi na wanalipwa vizuri kuliko watanzania ktk ngazi na sifa zinazofanana.
Hivyo, hatuwezi kuwa na reciprocal policies. Naielewa serikali yangu ktk hili suala.
Kuipita kenya ndio wimbo.View attachment 529590 View attachment 529590convert hizo into tanzanian money kwanza ndio muanze kuwaza kuipita kenya
tuko na pesa za kutosha na industries nyinyi limeni sisi tutakuja kununua raw materials and we turn them into finished products. waTz wengi wako huku, wamechokaHow comes Kenya ni Middle Income country na haina chakula na TZ ni LDC ila kuna mchele wa kutosha na maharage ya njano??
Naomba mnieleweshe...
Kuna watu wabaguzi Afrika Mashariki kama Wakenya?Hizo options huwa mnazitumia ila sisi tunabaki kimya maana hatuna muda wa kuburuzana na nyie mliojawa na majungu maisha yenu yote, yanayo wasababishia umaskini.
Kenya imefungua milango kwa watu wote, maana wageni wengi wana shirikiana na sisi katika ujenzi wa taifa na uchumi wetu, hata hao Watanzania wanapewa vibali bure bila gharama, sema ni kwamba mumezoea kuishi kiujanjanja hata mkipewa vibali bure hamtaki kuvichukua.
Nenda pale Gikomba, Nairobi utadhani upo Dar. Watanzania kila sehemu hadi machangudoa ya Majengo, ila tunaishi nao vizuri, hata omba omba wenu tunawalea kwenye miji yetu bila shida. Kwangu kuna jirani Mtanzania amejenga residential flats na ametulia bila kuzinguliwa. Siku zote nyie ndio wenye hulka ya kuchokonoa chokonoa.
So what if we are? Freshwater swabeverything except ur still a poor LDC country😀😀😀
To start with, its lose not loose. Moving on, would you be kind enough to say what Kenya has to lose?Seriously,Tanzanians still hold the Ace.We've got less to loose in comparison.
Acha hizo matusi za kimanzi wa KE,
Nimeisoma Kenya vyema , tukiwa apo Kwa country yenu nimepata ona watu wako choko sana vile wana hustler na life.
Acha nikupee some parts zile ziko za kichoko hadi mamanzi wa apo wanauza papunchi Kwa Kshs 10 which is equivalent to Tshs 150 to 250/=.
Mfano, Awendo , Kisiii, Migori, Naroko, Nyeri, na parts za Kisumu hata hii part yote yenye imekawa na wakaranjini hii tribe / ethnicity ya Moi ndiyo iko kabisa very pathetic .
Wacha apo sijasema vile waluo wako very desperate wakikula mahindi choma pekee na porage za white flour ya maize /corns.
Na ziko zile area haziko kabisa na food kama kule anatoka mtoto wa former president Moi.
In kenya you can count places zile ziko na food na facilities kama social service.
Sasa, pale tumewapa opportunity mpate hata sent mbili apo TZ then, mwaanza Leta hizo maneno ndefu Kama mdinyi mwenye amekosa mpigo wenye wachoma sawia.
Na hapo ke still, projects mingi ni za foreigners na some Kikuyu's wale waliiba hizo doo toka Kwa KG.
Niambie Wakenya ngapi wako na dooo zile siyo za kupiga deals!?
Imagine hata uyo curent president wa kwako, dady wake aliiba doooo zingi Sana akampea mkaranjini Moi ati pale uhuru akikuwa mkubwa ampe na amsaidize afanye business.
Any way, KE, mko very poor, at the moment you can raise your head but, few years and not beyond 5 years mtaanza kuitafuta TZ Kwa touch vile economy yetu itakuwa faster.
Then, investors wale wako apo ke waende home kwao kwa vile mko na GE August, niapo mtakufa.
Angalie vile naandika Swahili, ujue ya kuwa Kenya ndiyo, mbwa tena mbwa koko na machokora.
Sikiza nimekuwa Kenya, nimefanya kazi na UN agencies , hivyo najua vyema vile ke mko machoko na manyang'au even among yourselves.
Vile ukicome unialart nipate kukupea kavu za iyo face yako kama papuchino na upate toa povu zote zile ziko Kwa hiyo box yako yenye waita kuwa ni head.
Though, ukisoma paper money by imf and world bank , you might fool yourself and your fellows that KE is better than TZ while TZ soon itakuueni we manzi.
Tutapata doooo ndefu Sana ukija next time. Tusome GDP and GNP niapo utakuwa na proper figure.
Kwa hiyo, mbwa wa kimalagori ni wewe na ke ndiyo Mbwa wa UDC.
Hii kitu wakenya huwa hawailewi .Hii tit-for-tat haitatupeleka mbali as East Africans.
Cooler heads need to sit and settle the issues raised amicably.
Ila kiukweli if Tanzania decided to target Kenyans living in Tanzania wakenya watakoma. There are many more Kenyans in Tanzania than there are Tanzanians in Kenya. Just saying. Plus wasisahau pia there is always the option ya kupunguza safari za KQ au hata kupiga marufuku vyakula kwenda Kenya......Tanzania just has soooo many cards up its sleeve!
Ni jambo zuri kusikia kuna mbongo kawajengea dormitory hukuo Nai na anachukua hela zenu kuja kula bata dar .Hizo options huwa mnazitumia ila sisi tunabaki kimya maana hatuna muda wa kuburuzana na nyie mliojawa na majungu maisha yenu yote, yanayo wasababishia umaskini.
Kenya imefungua milango kwa watu wote, maana wageni wengi wana shirikiana na sisi katika ujenzi wa taifa na uchumi wetu, hata hao Watanzania wanapewa vibali bure bila gharama, sema ni kwamba mumezoea kuishi kiujanjanja hata mkipewa vibali bure hamtaki kuvichukua.
Nenda pale Gikomba, Nairobi utadhani upo Dar. Watanzania kila sehemu hadi machangudoa ya Majengo, ila tunaishi nao vizuri, hata omba omba wenu tunawalea kwenye miji yetu bila shida. Kwangu kuna jirani Mtanzania amejenga residential flats na ametulia bila kuzinguliwa. Siku zote nyie ndio wenye hulka ya kuchokonoa chokonoa.
Wakenya wanapenda ushirikiana sanaUkiona waganga wanajaa huko kenya basi soko ni la uhakika huko.
Mexico tena 😳kwani tz ndio iko na chakula pekee ata mexico ipo.
Huyu bado ni mseja hajui chochote kuhusu familia ,anakula tu boom la kenyata kwa wanachuo, labda umwambie aende discussionYes we are bt why are you feeling so bitter when LDC kick your asses out of it? Am not sure if you have any food to feed your family right now, you better go fight with hunger outer there.
Tulishakupa ufafanuzi kuhusu hizi outdated reports ndugu! Jaribu kuwa unatafuta report za wakati husika!